Kabla ya ndoa ujifunze lipi

LOL,....Mr Rocky, kama wanaosujudu wakimlilia Mungu shida zao, na wanadamu ni vivyo hivyo!...wakishapata lao, ni wachache wanaorudia kumshukuru Muumba!

Mbu ndo maana yake unasujudu wakati una shida tuu
Ndo maana nikasema wanaume tunasujudu na kuonekana wanyenyekevu kweli wakati unapomwambia binti "Will you Marry me"
Shuhudia akishaambia "Yes" mambo yanabadilika anataka yeye asujudiwe na kutukuzwa
Au ukiwa na shida hata kw atumbo utalala kuomba huruma ngoja utimiziwe unakuwa kama tembo aliyekasirika
 
Reactions: Mbu
Mimi sielewi kabisa huu ujinga ujinga wa kwamba eti nimtii mtu (ingawa binafsi niko upande wa pili). Nikutii kivipi? Yaani ukisema kitu au ukitoa amri ndo nitii? What ze fak iz that?

Au mimi sijaelewa kuhusu hayo ya kumtii mume? Enyi wajuvi hebu nijuzeni kwa mifano namna ambavyo mke anatakiwa kumtii mumewe manake sielewi kabisa. Naona kama vile kutii na kusujudu ni distinctions without much of a difference. And good thing I live by my own rules and don't follow no one's.

Kwangu kuheshimiana na kupendana kwa dhati kusiko na masharti ndo kunahusika. Lakini siyo haya mambo ya kutii....so stupid in my opinion.
 
NN utii hutokana na heshima na upendo wa dhati tu! Kama hivo havipo basi utii hakuna. Hata ukimwambia mwenzio jambo fulani wala hatalitilia maanani kwa kuwa hakuheshimu na hata kutii...

Mfano hata majukumu tu ya kifamilia ya kila siku, unaweza kumwambia mwenzio afanye jambo fulani, wala asijisumbue, tena atakwambia si ukafanye mwenyewe!
Lakini kama kuna heshima na upendo wa dhati utiifu unakuja tu bila kuamrishwa.
 
According to the Bible mwanamke aliumbwa kama msaidizi wa mwanaume,full stop!!!!Kitakachozidi hapo ni ubatili!

dah awe msaidizi wa nini, au ndo vitu vidogovidogo kama wenzangu wanavyosema kila siku
 

Kwa hiyo huu utiifu anayetakiwa kuwa nao ni mke kwa mume wake? If so, that's more stupid than I thought before!!!!!

Au nimekosea kuwa mke anatakiwa kuwa mtiifu kwa mumewe kwa sababu mume ndo kichwa cha familia? Manake kwa mujibu wako msingi wa utiifu ni "heshima na upendo wa dhati". Heshima na upendo wa dhati kwenye mahusiano ni two way street. Sasa kwa nini mke tu ndo awe mtiifu kwa mumewe na mume naye asiwe mtiifu kwa mkewe?
 
You got it all wrong wewe....Hapa nazungumzia wote wawili mke na mume !Kwa nn mke akupende na kukuheshimu na huku wewe ni kinyume chake?Hapa ni nusu kwa nusu tu, na ni hapo tu mtakapopendana kwa dhati na kuheshimiana na utii wa wote ndipo mahusiano yenu yataleta maana. Vinginevyo ni upuuzi mtupu!
 
Hahahaha!!! NN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…