Kabrasha chumba cha kunyongea

Hii dunia ina watu wengi sana wenye roho mbaya kiasi ambacho kazi kama hii inagombaniwa na wengi mno. Nina uhakika hata wangesema watu wa kunyonga bila malipo wangepata.
Angeuliwa mtu wako mfano mke ama mtoto kwa kukusudia je unaweza kumsamehe muuaji?
Kama huwezi ujue na wenzio wanahitaji wafanyiwe haki na imetokana na maagizo ya torati ambayo ni yetu sote wakristo na waislamu.
Hata babu zetu kabla ya kuja dini walikuwa na imani zao lakini kifo kwa wauaji ilikubaliwa pia ni sheria za ubinadamu zipo moyoni alishaziandika humo Mungu mwenyewe.
 
Reactions: 1gb
" bwana mnyongaji hukamatwa na kupelekwa kizimabani na kusomewa mashtaka ya mauaji.... Naye hukiri kosa kwa kunukuu vifungu kadha vya Jamhuri ya nchi na hatimaye kuachiwa huru..... "

Kwa nini bwana mnyongaji ashitakiwe kwa mauji peke yake? Je Rais aliye sign hati na kuidhinisha kwa nini nae asishtakiwe?

Endapo mnyongwaji kwenye process ya kunyongwa hatokufa hata baada ya kuachwa kwa muda... nini hutokea??


Cc: mahondaw
 
Hiki ni kitu kipya kwangu-Ahsante kwa elimu
 
Mtu yoyote anaetoka nyumbani kwake na kwenda kumtoa binadamu mwenzake uhai tayari na yeye anakua amejinyima haki yake ya msingi ya kuishi hpa Duniani______Margaret Thatcher former British prime minister
 
Mbona una wenge mazee? Kwani wanaohukumiwa kunyongwa ni wauaji tu?
 
Mbona una wenge mazee? Kwani wanaohukumiwa kunyongwa ni wauaji tu?
Kwa bongo wala rushwa na wahujumu uchumi bado hawaingii kwenye adhabu hiyo hata wauza madawa ya kulevya sasa labda utujuze zaidi ya wauaji ni hatia zipi tena.
Maana tunaelimishana pia humu.
 
Mtu yoyote anaetoka nyumbani kwake na kwenda kumtoa binadamu mwenzake uhai tayari na yeye anakua amejinyima haki yake ya msingi ya kuishi hpa Duniani______Margaret Thatcher former British prime minister
Hao wanasiasa wa magharibi ni wanafiki sana. Mbona yeye alivyokuwa waziri mkuu alitoa amri kwa jeshi lake kwenda kuua raia maelfu wasio na hatia?
 
Kwa bongo wala rushwa na wahujumu uchumi bado hawaingii kwenye adhabu hiyo hata wauza madawa ya kulevya sasa labda utujuze zaidi ya wauaji ni hatia zipi tena.
Maana tunaelimishana pia humu.
Ndiyo maana nikakuambia una wenge! Mimi nilikuwa namjibu alisema kuhusu wanyongaji! Rudi usome uone tulikuwa tunajibizana nini! BTW Wewe ndiyo unavyofikiri lakini Tanzania hata uhaini unaweza kuhukumiwa kifo! Na pia siyo kila aliyehukumiwa kifo ameua kweli! Na siyo kila aliyeua ana hatia! Nchi zilizo makini kwenye mambo ya hukumu wanafungwa wasio na makosa ije kuwa hapa kwetu kwenye kila aina ua vituko!
 
Mkamatwa na kidhibiti ndio mshtakiwa... Akishaingia condemn room lazima afe kwa nyundo au sindano ya sumu
 
Hiiv mkuu ni kila gereza lina hiki chumba ama ni baathi ya magereza tuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…