Kabrasha chumba cha kunyongea

Haya asante. Mnyongwaji huambiwa lini kwa mara ya kwanza kuwa utanyongwa siku fulani na huambiwa na nani?
Baada ya kuhukumiwa, hupewa muda wa kukata rufaa... Rufaa ikishindikana kuna kusubiria msamaha wa rais.... (Msamaha huu si kuachiwa huru bali kupewa kifungo kirefu) kama hakuna inasubiriwa tu rais asaini hati yako na kuvunja kalamu aliyotumia(ishara ya kutotengua maamuzi) ... Hati yako ijishasainiwa kufuatana na ratiba za unyongaji hupangiwa na tarehe yako na kupewa taarifa na wahusika wa unyongaji Kiongozi wao
 
Big bro kwanini hukusubiri huu msimu wa sikukuu uishe maana dah kwa stimu ulizonikata itabidi ulipie tu hakuna namna.
 
Hapo mnyongaji anapokamatwa ndo halafu kusomewa mashtaka wakati alikuwa anatekeleza majukumu yake?
 
Hapo mnyongaji anapokamatwa ndo halafu kusomewa mashtaka wakati alikuwa anatekeleza majukumu yake?
 
Ooh habari nzuri sana hii. Vipi hakuna aina nyingine ya adhabu ya kifo anaweza kuchagua mnyongwaji?
Mnyongwaji hana uamuzi wa
. gereza
. adhabu
. mnyongaji
Bali siku ya mwisho hupewa uchaguzi wa kula apendacho, kunywa apendacho, hata sigara (sio kubwa) hupewa kwa idadi ya kutosha.. Na hata nyimbo anaweza kupigiwa hata Nyegezi
 
Mnyongwaji hana uamuzi wa
. gereza
. adhabu
. mnyongaji
Bali siku ya mwisho hupewa uchaguzi wa kula apendacho, kunywa apendacho, hata sigara (sio kubwa) hupewa kwa idadi ya kutosha.. Na hata nyimbo anaweza kupigiwa hata Nyegezi
Anaweza kuosha rungu mara moja au hiyo haki hana?

Na vipi huwa mara nyingi wananyongwa nyakati gani? Usiku, asubuhi au mchana.
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
 
Kikifanya kosa huwa hairudiwi(nisikiavyo mimi)
Kikishindikana kitanzi kama kuteleza ama kushindwa kunyonga kuna nyundo kama rungu, unapigwa utosini moja tu, kama bado basi sindano ya sumu (ndio maana huwepo madaktari wa kuthibitisha kifo ama wa kukumalizia)
 
Hapo mnyongaji anapokamatwa ndo halafu kusomewa mashtaka wakati alikuwa anatekeleza majukumu yake?
Kuua ni kuua tuu lakini kila mtuhumiwa wa mauaji hupewa nafasi ya kujitetea naye hujitetea kwa kusema hivyo kuwa kulingana na katiba ya nchi hayo ndio majukumu yake kisheria hivyo hana hatia
 
Mkuu hiyo ya mnyongaji kupombeka usiku kucha sijui kama nimekuelewa..
Maana kuna mnyongaji (mtaani ni maarufu kama nyonganyonga) mstaafu tuko nae kitaa,

Kunyonga kwake mbona haihitaji mbwembwe zozote (kulingana na maelezo yake) kama hizo za kupombeka usiku kucha..
 
Inaonesha mnyongaji ula fedha ndefu kuzidi wote kwa kazi ya kubonyeza kitufe tuu cha kufungua mlango wa kunyongea, bora na mm niombe nafasi hiyo zikitokea
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Kwa wenzetu walioendelea bado wanazidi kuboresha adhabu ya kifo kwa
Kukuwekea chumba kizuri chenye AC na manukato
Taa nzuri
Kitanda cha stainless steel
Godoro la gharama
Mikanda laini ya pure leather
Sindano ya usingizi
Sindano ya kuondoa maumivu
Sindano ya sumu
Mchomaji expert nknk
 
Anaweza kuosha rungu mara moja au hiyo haki hana?

Na vipi huwa mara nyingi wananyongwa nyakati gani? Usiku, asubuhi au mchana.
Hapana hiyo haipo.... Maranyingi kama si zote unyongaji hufanyika asubuhi kabla ya saa tatu
 
Wanapewa lakini si kila mtu anapendelea kilevi cha pombe, vingine havitajwi na wengine hunywa lakini hawalewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…