Kabrasha chumba cha kunyongea

Kabrasha chumba cha kunyongea

Wanaruhusiwa kupiga wanyongwaji pindi wanapoenda kitanzini au huwa wanaenda friendly?
Hairuhusiwi ila ukileta ubishi halafu ukakutana na mbabe keshakula vyake utaenda kitanzini kwa Tanganyika jeki
 
mkuu hizo nafasi za unyongaji watu zinapatikana kweli au na huku kuna undugunization tu 😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zina watu wake hizi si kazi za kufanywa na kila mtu
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Nafikiri isiyo na maumivu ni Gun Shot tu.....
 
najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Nchi nyingine adhabu ya kifo inatekelezwa kwa kupigwa risasi kama wale jamaa wale waliokamatwa na dawa za kulevya toka australia na nigeria
 
Kwahiyo Bwana Mnyongaji akichemka kujitetea kuhusu vifungu,naye huishia kitanzini?
Na je wakati akijitetea huwa ktk hali ya pombe au?mana umeandika Jana yake hukesha chumbani akijidunga vyombo
 
Back
Top Bottom