Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ujue mambo ya kufakufa huwa yanafanya hata Nyagi kutoweka ghafla kwa woga....[emoji12] [emoji12]Kwani wewe ni mfungwa mtarajiwa? [emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mungu atujalie mwisho mwema! Nmeogopa sana
basi wafanye mpango hata hiyo ya kumalizia asee ...akijifanya anakukuruka unapiga nyundo mbili fantastic na kifuti juuWanabebana sana niliwahi kuomba hadi ya mochwari nikakataliwa.
Sio kweli, inaitwa "kunyongwa mpaka kufa"Kikifanya kosa huwa hairudiwi(nisikiavyo mimi)
Hairuhusiwi ila ukileta ubishi halafu ukakutana na mbabe keshakula vyake utaenda kitanzini kwa Tanganyika jeki
basi wafanye mpango hata hiyo ya kumalizia asee ...akijifanya anakukuruka unapiga nyundo mbili fantastic na kifuti juu
Nafikiri isiyo na maumivu ni Gun Shot tu.....najua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Nchi nyingine adhabu ya kifo inatekelezwa kwa kupigwa risasi kama wale jamaa wale waliokamatwa na dawa za kulevya toka australia na nigerianajua uzi umespecify kunyongwa ila kuuliza sio ujinga ...je kuna style ya kuua ambayo haina maumivu ya aina yeyote? na je kwenye ķuuliwa nani anae amua atanyongwa au sumu au shoti jaji au mtumiwa
Inatakiwa iwe hivyo lakini kuna mataifa kwa sababu ya rushwa huchakachukua mpaka pesa ya uniform wa wanyongwaji
Naogopa hicho kifo kibaya cha adhabu. Namuomba Mungu nife peaceful nikiwa nmezungukwa na wapendwa wanguUnaogopa nini wewe!
Naogopa hicho kifo kibaya cha adhabu. Namuomba Mungu nife peaceful nikiwa nmezungukwa na wapendwa wangu