Kabrasha chumba cha kunyongea

Itategemea duration ya tukio zima... Kadiri muda unavyozidi kuwa mrefu ndio maumivu yanavyokuwa mengi

Ya sindano ya sumu ina mchakato mrefu sana...hadi mtu afe anapitia mateso saanaa......
 
Noma sana. Anaelewa na kupewa misosi ahitakayo ni mnyongwaji au mnyongwaji? Naona kama kuna mkanganyiko hapo.
 
Noma sana. Anaelewa na kupewa misosi ahitakayo ni mnyongwaji au mnyongwaji? Naona kama kuna mkanganyiko hapo.
Mnyongwaji anahudumiwa kila kitu akipendacho... Inaitwa karamu ya mwisho
Mnyongaji anapumzika akijiandaa kutoa roho hivyo anapewa vilevi alirelax
 
Mnyongwaji anahudumiwa kila kitu akipendacho... Inaitwa karamu ya mwisho
Mnyongaji anapumzika akijiandaa kutoa roho hivyo anapewa vilevi alirelax
Kwa hiyo anajua kabisa kesho ananyongwa? Fanya mpango udoondoshe hiyo part 2 kaka mkubwa
 
Hairuhusiwi ila ukileta ubishi halafu ukakutana na mbabe keshakula vyake utaenda kitanzini kwa Tanganyika jeki
Katika kusoma soma story za adhabu ya kuuawa ni mara chache nimekutana na visanga vya mnyongwaji aliyejaribu kuleta ubabe. Nadhani wengi huwa ni akili zinakuwa zimehama wamebakia miili tu.
 
duh
 
SEHEMU YA PILI
Hii inahusika na vituko na simulizi za wanyongwaji
Vituko, waoga, wakorofi wapo popote duniani na simulizi zenye simanzi sana pia hazikosekani

Mfungwa mmoja huyu alikuwa gereza la Isanga, huyu jamaa naweza kuamini kwa hakika hakuua bali figisu ana ushahidi vilimfunga
Huyu jamaa aligoma kabisa kula mpaka alipoitiwa rafiki yake mmoja askari ndio akakubali kula wali kuku... Chakula hiki kilitoka Dodoma hotel na aliletewa vipapatio vya kutosha... Hata neno lake la mwisho alisema ananyongwa bila hatia
Mwingine alikuwa ni binti mmoja huyu aliuwa mwanae... Kama kuna msamaha baada ya kuhukumiwa na hati kusainiwa huyu binti angekuwa mmojawapo.... Alilia sana na kujutia sana na kuomba misamaha yote lakini haikusaidia.. Alikula kitanzi
Wengine. Walikuwa wana fulani hivi kesi ya robbery na mauaji.. Hawa walidai chai ya maziwa mikate yenye siagi na mayai ya kukaanga wapewe alfajiri... Walitimiziwa... Walikufa wakiwa wameshiba kabisa
Mmasai mmoja baada ya kugoma siku nzima kuagiza apendacho usiku alikuja kuagiza damu mbichi ya beberu... Jamaa walimletea lakini walimmaind sana.....
Mwingine alikuwa ni mzee mmoja alikuwa mchawi sana.. Huyu kitanzi kilidunda na alikaa na kitanzi dakika 45 nzima ndio akakata roho... Yule mnyongaji ilibidi amkanyage mgongoni mara 45 (anajua mwenyewe kwanini alifanya hivyo......
Makala ni ndefu bado
SEHEMU YA PILI
Hii inahusika na vituko na simulizi za wanyongwaji
Vituko, waoga, wakorofi wapo popote duniani na simulizi zenye simanzi sana pia hazikosekani

Mfungwa mmoja huyu alikuwa gereza la Isanga, huyu jamaa naweza kuamini kwa hakika hakuua bali figisu ana ushahidi vilimfunga
Huyu jamaa aligoma kabisa kula mpaka alipoitiwa rafiki yake mmoja askari ndio akakubali kula wali kuku... Chakula hiki kilitoka Dodoma hotel na aliletewa vipapatio vya kutosha... Hata neno lake la mwisho alisema ananyongwa bila hatia
Mwingine alikuwa ni binti mmoja huyu aliuwa mwanae... Kama kuna msamaha baada ya kuhukumiwa na hati kusainiwa huyu binti angekuwa mmojawapo.... Alilia sana na kujutia sana na kuomba misamaha yote lakini haikusaidia.. Alikula kitanzi
Wengine. Walikuwa wana fulani hivi kesi ya robbery na mauaji.. Hawa walidai chai ya maziwa mikate yenye siagi na mayai ya kukaanga wapewe alfajiri... Walitimiziwa... Walikufa wakiwa wameshiba kabisa
Mmasai mmoja baada ya kugoma siku nzima kuagiza apendacho usiku alikuja kuagiza damu mbichi ya beberu... Jamaa walimletea lakini walimmaind sana.....
Mwingine alikuwa ni mzee mmoja alikuwa mchawi sana.. Huyu kitanzi kilidunda na alikaa na kitanzi dakika 45 nzima ndio akakata roho... Yule mnyongaji ilibidi amkanyage mgongoni mara 45 (anajua mwenyewe kwanini alifanya hivyo......
Makala ni ndefu bado
 
Sitaki kuikosa hiyo sehemu ya pili.

Nimevutiwa na kipengele cha mnyongaji naye kukamatwa na kusomewa mashtaka ya uuwaji.
Hyo story ilishaletwa humu kitambo sana tena alihojiwa askari mstaafu ambae aliifanya kazi hyo kwa muda usiopungua miaka 25,alihojiwa na waandishi wa habari akaeleza kila kitu mpaka idadi ya watu walionyongwa kuanzia utawala wa nyerere mpaka........
Kila hatua alieleza,huyu kadonoa tu vitu na kuweka hapa
 
Hapa katulisha matango pori atalewaje kazini...Jibu ni nooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…