Kabrasha chumba cha kunyongea

Kabrasha chumba cha kunyongea

Jamaa yuko sahihi mkuu, anaekamatwa ni bwana jela , Kuna ndugu yangu ni askari magereza aliwahi kuniambia same things.
Ok ngoja nisibishe sana ila nalifanyia kazi
 
Zaman mnyongaji alikuwa anashitakiwa mahakama kuu kuhusiana na tendo la kuua ila nadhani utaratibu umebadilika anakuwa mkuu wa gereza kama hakimu/judge i stand to be corrected
Hiki ndio nakifahamu ila kwakuwa nimetoka kwenye fani muda mrefu basi naona kuna changes nyingi
 
Kwa nini siku ya mwisho huyu mnyongwaji hupewa chochote atachohitaji hata kiwe na gharama kubwa tofauti na siku za nyuma?
 
UTOE LOCK TENA..?
...
...
KUNA KIPENGELE UMESEMA MNYONGAJI ANAKESHA ANAPIGA VYOMBO, NA WEWE UNATOA LOCK, mh..!!
Tangu 1984 safari ya Kenya ikiuzwa sh. 20 na pilsner ya Tz ikiuzwa sh. 15
 
Back
Top Bottom