Guerreiro
JF-Expert Member
- Dec 22, 2018
- 736
- 1,134
Unaogopa kufa? Kufa ni kitu gani hadi uogope!Na itakuwa hivyo ndugu wala usihofu,endelea kuomba viwe vipande 600,hivyo 300 tayari usha pokea ,
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa kufa? Kufa ni kitu gani hadi uogope!Na itakuwa hivyo ndugu wala usihofu,endelea kuomba viwe vipande 600,hivyo 300 tayari usha pokea ,
Unaogopa kufa? Kufa ni kitu gani hadi uogope!
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
MI naijua kazi yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna siku mkiifahamu kazi yangu halisi mtanikimbia wote[emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23]
Ni #191Post no #121
[emoji3][emoji3][emoji3] Itakuwa vizuri. Nakuombea ufe kwa kuhara damu.Siogopi mkuu,ila nakazia tu usha pokea , uwe na amani
Mhudumu chumba cha mahututi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mhudumu chumba cha mahututi
Mhudumu chumba cha maiti
Msaidia kufa kwa wasiopenda kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna jamaa alikuwa cjui anamuuliza kama kitanzi kimemkaba vizuri, kuna dialogue walifanya hapo kisha Saddam akatikisa kichwaSaddam alifikia mwisho wake... Tukio hili lilirekodiwa kwa sababu maalum View attachment 979436
Jr[emoji769]
Bwana jela ni sehemu tu ya shahidi mahakamani, Ila mshatakiwa ni aliyenyongaOk ngoja nisibishe sana ila nalifanyia kazi
Kwa kuboresha tu, vibaka wa mtaani kwetu walinikaba/nyonga shingoni hadi nikakata net kwa dk 2 Nilipozinduka sikuona mtu, nimebaki mweupee na sauti ilikata kwa siku nne!.nadhani ni vitu viwili tofauti ndio maana wanasema 'kunyongwa hadi kufa'.