Kabrasha chumba cha kunyongea

Kabrasha chumba cha kunyongea

Ahsante kwa mada nzuri, binafsi death sentence it's a NO, haileti tija yeyote ,murder cases zinaongezeka kabla ya kupungua,sends wahukumiwa long jail term, miaka 50 without parole
 
Umesahau kusema na sio kila gereza hukumu hiyo inatimizwa,unaweza kutolewa segerea unaenda kumyogwa Arusha,Kuna magereza maalumu
 
Katika kitu ambacho hua sikielewi ni hiyo ya daktari kuja kumpima anayenyongwa kwamba ana afya imara ili anyongwe, sasa mtu kama unamuua kwanini unahakikisha ana afya ili umnyonge
Umesahau kusema na sio kila gereza hukumu hiyo inatimizwa,unaweza kutolewa segerea unaenda kumyogwa Arusha,Kuna magereza maalumu
Arusha hakuna gereza lenye kitanzi!! Japo kweli unaweza kuhamishwa
 

Kabrasha chumba cha kunyongea
Ulishaandika kila kitu big up bro Mshana Jr
 
Ndg watanzania,,mfungwa wa kunyongwa ni mfungwa ambae amehukumiwa na mahakama hukumu ya kunyongwa hadi kufa,,,baada ya hukumu mfungwa huyo uhifadhiwa gerezani( central prison)

Akiwa gerezani huhitaji ulinzi maalumu tofauti na wafungwa wengine ambapo huwa gereza lao ndani ya gereza( hawachangamani) vile vile hupewa mlo special tofauti na wafungwa wengine.

Askari wanaopangwa zamu kuwalinda huvaa tofauti na Askari wengine ambapo Askari hao hawaruhusiwi kuvaa uzi wa filimbi( leniard) pia hawaruhusiwi kuvaa viatu vya kamba mara nyingi huvaa sandals au viatu bila kamba.

Endapo Kuna uhitaji wa kwenda mahakamani msafara wao huwa wa kutisha kidogo ambapo msafara huwa na ulinzi mkali ukijichanganya unalambwa shaba.

Endapo rais atatia saini wafungwa flani kunyongwa mambo yafuatayo yatafanyika.

1.Kitanzi kitasafishwa kuhakikisha mitambo inafanya kazi.

2.Mfungwa atataarifiwa utekelezwaji wa hukumu hiyo( kunyongwa) saa 24 kabla.

3.Askari mnyongaji atafanya mazoezi ya kutosha kuhakikisha hafanyi makosa ya kiufundi wakati wa kunyonga.

4.Mganga wa serikali atajulishwa ili afanye vipimo vya afya ya mfungwa husika.

5.Mfungwa atapewa fursa ya kuchagua chakula chochote anachotaka na atapewa.

6.Kiongozi wake wa dhehebu ataitwa ili kufanya maombi kama akihitaji.

7.Ulinzi utaimarishwa mara dufu kuzunguka eneo zima la gereza ukijichanganya shaba inakuhusu.

8.Mfungwa atafungwa kitambaa usoni kuelekea chumba cha mtambo wa kunyongea akiwa chini ulinzi Askari makini na shupavu.

9.Askari mtaalamu wa kunyonga atajongea eneo la kitanzi kwa ujasiri.

10.Mfungwa atavishwa kitanzi

11.Askari atafyatua mtambo

12.Askari atahakikisha mfungwa kanyongwa Hadi kufa ambapo mtambo hupigwa mara tatu kiustadi.


14.Baada ya kuhakikisha kafa hushushwa na mtambo Hadi kwenye andaki ambapo kamba kitanzi hutolewa shingoni na kulazwa sehemu rasmi ya kuoshea mwili.

15.Kaburi huchimbwa eneo rasmi liliandaliwa kwa ajili ya mazishi ya wafungwa.

16.Mwili hubebwa kupelekwa kaburini chini ulinzi.


17.Kuhusu unawekwaje kaburini sitasema.


18.Mkuu wa gereza hutoa amri mwili kufukiwa ,,,tukumbuke mwili huo haukabidhiwi kwa ndugu hivyo hubaki kuwa mali ya jamhuri sijui Kama sheria imebadilika sijapitia

19.Ulinzi utaimarishwa zaidi maana kunakuwa na taharuki kubwa sana kwa wafungwa wote gerezani na wafungwa wengine wa kunyongwa wanaobaki.


Hakuna siku ambayo huwa mbaya kwa wafungwa wa kunyongwa kama siku ambayo husikia chumba cha kunyongea kinafanyiwa usafi hata kama ni zoezi la kawaida tu la usafi,,,wao hudhani tiyari rais Katia saini labda.


Askari wanaolinda wafungwa hawa lazima wawe makini maana wafungwa hawa Wana roho ya kukata tamaa muda hivyo huweza kufanya lolote kwa yoyote,,ukizubaa wanakuua wanasepa.

Ikumbukwe Askari mnyongaji baada ya kutekeleza hukumu hufunguliwa mashitaka ya kuua na kesi husikilizwa siku moja na Askari hushinda kesi.

Kwenu wtz
Ndugu.Kyenyabasa kwani wewe ni askari mnyongaji🤔
 
Dah🤔,,, sijui umefikiria nini mpaka kuleta uzi huu,,, by the way twende tuishi!!
 
Isanga,lilungu,maweni, uyui,butimba,luanda
Lilungu lipo wapi ilo,nimeshuhudia kitambo wakisafirishwa kwenda kwenye kitanzi,ni huzuni kwa kila mtu,mpaka Askari wenyewe,ukimya wa hatari,ata paka au kuku akiwa pembeni anahuzinika,pingu miguuni na mikono,mavazi ya tofauti,yenye Alana x nyekundu kifuani na mgongoni,Askari kmkm ,Askari wa kawaida na ffu wanapeleka msafara,mbwa wa kutosha,silaha wanazobeba siku hiyo zinakua tofauti na za siku ya kawaida
 
Lilungu lipo wapi ilo,nimeshuhudia kitambo wakisafirishwa kwenda kwenye kitanzi,ni huzuni kwa kila mtu,mpaka Askari wenyewe,ukimya wa hatari,ata paka au kuku akiwa pembeni anahuzinika,pingu miguuni na mikono,mavazi ya tofauti,yenye Alana x nyekundu kifuani na mgongoni,Askari kmkm ,Askari wa kawaida na ffu wanapeleka msafara,mbwa wa kutosha,silaha wanazobeba siku hiyo zinakua tofauti na za siku ya kawaida

Ulishuhudia gereza gan hilo?
 
Ikumbukwe Askari mnyongaji baada ya kutekeleza hukumu hufunguliwa mashitaka ya kuua na kesi husikilizwa siku moja na Askari hushinda kesi."
Fafanua mkuu, hii maana yake nini
 
Ndg watanzania,,mfungwa wa kunyongwa ni mfungwa ambae amehukumiwa na mahakama hukumu ya kunyongwa hadi kufa,,,baada ya hukumu mfungwa huyo uhifadhiwa gerezani( central prison)

Akiwa gerezani huhitaji ulinzi maalumu tofauti na wafungwa wengine ambapo huwa gereza lao ndani ya gereza( hawachangamani) vile vile hupewa mlo special tofauti na wafungwa wengine.

Askari wanaopangwa zamu kuwalinda huvaa tofauti na Askari wengine ambapo Askari hao hawaruhusiwi kuvaa uzi wa filimbi( leniard) pia hawaruhusiwi kuvaa viatu vya kamba mara nyingi huvaa sandals au viatu bila kamba.

Endapo Kuna uhitaji wa kwenda mahakamani msafara wao huwa wa kutisha kidogo ambapo msafara huwa na ulinzi mkali ukijichanganya unalambwa shaba.

Endapo rais atatia saini wafungwa flani kunyongwa mambo yafuatayo yatafanyika.

1.Kitanzi kitasafishwa kuhakikisha mitambo inafanya kazi.

2.Mfungwa atataarifiwa utekelezwaji wa hukumu hiyo( kunyongwa) saa 24 kabla.

3.Askari mnyongaji atafanya mazoezi ya kutosha kuhakikisha hafanyi makosa ya kiufundi wakati wa kunyonga.

4.Mganga wa serikali atajulishwa ili afanye vipimo vya afya ya mfungwa husika.

5.Mfungwa atapewa fursa ya kuchagua chakula chochote anachotaka na atapewa.

6.Kiongozi wake wa dhehebu ataitwa ili kufanya maombi kama akihitaji.

7.Ulinzi utaimarishwa mara dufu kuzunguka eneo zima la gereza ukijichanganya shaba inakuhusu.

8.Mfungwa atafungwa kitambaa usoni kuelekea chumba cha mtambo wa kunyongea akiwa chini ulinzi Askari makini na shupavu.

9.Askari mtaalamu wa kunyonga atajongea eneo la kitanzi kwa ujasiri.

10.Mfungwa atavishwa kitanzi

11.Askari atafyatua mtambo

12.Askari atahakikisha mfungwa kanyongwa Hadi kufa ambapo mtambo hupigwa mara tatu kiustadi.


14.Baada ya kuhakikisha kafa hushushwa na mtambo Hadi kwenye andaki ambapo kamba kitanzi hutolewa shingoni na kulazwa sehemu rasmi ya kuoshea mwili.

15.Kaburi huchimbwa eneo rasmi liliandaliwa kwa ajili ya mazishi ya wafungwa.

16.Mwili hubebwa kupelekwa kaburini chini ulinzi.


17.Kuhusu unawekwaje kaburini sitasema.


18.Mkuu wa gereza hutoa amri mwili kufukiwa ,,,tukumbuke mwili huo haukabidhiwi kwa ndugu hivyo hubaki kuwa mali ya jamhuri sijui Kama sheria imebadilika sijapitia

19.Ulinzi utaimarishwa zaidi maana kunakuwa na taharuki kubwa sana kwa wafungwa wote gerezani na wafungwa wengine wa kunyongwa wanaobaki.


Hakuna siku ambayo huwa mbaya kwa wafungwa wa kunyongwa kama siku ambayo husikia chumba cha kunyongea kinafanyiwa usafi hata kama ni zoezi la kawaida tu la usafi,,,wao hudhani tiyari rais Katia saini labda.


Askari wanaolinda wafungwa hawa lazima wawe makini maana wafungwa hawa Wana roho ya kukata tamaa muda hivyo huweza kufanya lolote kwa yoyote,,ukizubaa wanakuua wanasepa.

Ikumbukwe Askari mnyongaji baada ya kutekeleza hukumu hufunguliwa mashitaka ya kuua na kesi husikilizwa siku moja na Askari hushinda kesi.

Kwenu wtz
Usanii mtupu sasa mashitaka wanakuwa wanamfungulia ya nini mnyongaji😂😂
 
Ikumbukwe Askari mnyongaji baada ya kutekeleza hukumu hufunguliwa mashitaka ya kuua na kesi husikilizwa siku moja na Askari hushinda kesi."
Fafanua mkuu, hii maana yake nini
Kwa umeua unahukumiwa Kama muuaji mwingine yeyote,baada ya kusomewa mashataka na wewe unatakiwa ujitetee ,utajibu umeua kwa mujibu wa vifungu vya Sheria.
Zamani kulikua na wahudhuriaji wengine ,Ila baadae ikabadilishwa,ukiwa mahakamani kusomewa anakuepo mkuu wa gereza tu,kwa ajili ya usalama wa mnyongaji
 
Siku moja kabla ya kuwanyonga,wanapewa gambe ya kutosha,Kama ni bia unapewa creti zima,unywe unavyotaka uamke na hangover ya kutosha,ili unyonge bila ya kua na chembe za huruma huruma
 
Back
Top Bottom