Hakuna bunge pale.wala usijichoshe.Kwa wastaarabu jambo zito kwa jamii kama hili halipigiwi kura ya ndio au hapana. Wabunge huitwa moja moja kwa jina lake na kutamka kwa mdomo wake kama anaunga au haungi mkono. Bunge linkauwa na rekodi ya jumla ya kura zilizopigwa, zilizokubali, zilizokataa na ambazo hazikuwa na msimamo
Wananchi tunayo haki ya kudai majina ya walioafiki, ambao hawakuafiki na popo wasio na upande. Kwa mara ya kwanza kabisa Spika wa Bunge ameonekana kukerwa na hoja za upinzani na kugeuka judge, jury...all in one! Amechukua nafasi ya Waziri Mkuu kuitetea serikali kulinda maslahi yake.
Acha ujinga wewe bi ajuza, spika alikuwa analinda ujinga na ulafi wa watu wa ndiooooo! Tunaokufahamu tunajua fika unasukumwa na kitu gani!Spika alikuwa anawaweka sawa, sijamuona kukasirika.
Wote ukiwatafakari, walikua think tank ya kuingza Mps kwa ghiliba. Ili wabaki wao wenyewe mjengoni. Sasa ninyi mnawezaje wauliza wako wapi wakati Mnajua ndy miongoni mwa walioasisi kununua wabunge na kusnitch baadhi ya Wapinzani wenye nguvu?.Kwa mtazamo wa mwenye akili hakuna Mzalendo hapo.Kama wangekua wazalendo wangejiuzulu kupinga Mkataba huu.Wanafiki watupu, wanaogopa kumwaga unga wao au nao ni accomplice, but most unlikely Polepole to part of the scam. Lakini huwezi kujua nguvu ya fedha maana Polepole naye ni mchumia tumbo nambari ONE
km hujui mfumo wa uongozi wa CCM kajifunze. Waziri mkuu ni katibu wa baraza la mawaziri, ni kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bado unatgemea apinge jambo la serikali yake anayoiongoza mwenyewe? Hiyo ni akili ya wapi. Hao wengine Kabudi, Polepole na Bashiru wanaufahamu utaratibu wa chama chao hawawezi kupinga hadharani hata km wana mawazo mbadala wana vikao vyao wanawekana sawa ndipo hutoki na msimamo moja. CCM ni chama cheney nidhamu ya hali ya juu hakuna mambo ya kuropokaropoka hadharaniHivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
Wachumia tumbo tu hao... Jus' imagine polepole alivyokua ana draft kuhusu Ile 1.5trn🤣🤣🤣🤣Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
Asante sana kwa uchambuzi mzuri.Wale ni ezi wanabidi wapigwe mawe barabaraniWote ukiwatafakari, walikua think tank ya kuingza Mps kwa ghiliba. Ili wabaki wao wenyewe mjengoni. Sasa ninyi mnawezaje wauliza wako wapi wakati Mnajua ndy miongoni mwa walioasisi kununua wabunge na kusnitch baadhi ya Wapinzani wenye nguvu?.Kwa mtazamo wa mwenye akili hakuna Mzalendo hapo.Kama wangekua wazalendo wangejiuzulu kupinga Mkataba huu.
Hawa Ghasia huyoWewe bibi unahangaika na udini tu, watanzania wooooote wanaolalakia mapungufu ya mkataba wewe umewazidi akili, hauoni mapungufu kisa dini, akili yako haina akili!
Tafuta uelewa wa mkataba kwanza ili uwe na cha maana cha kuhoji. Unaweza kuwa unatumika na maadui wa kiuchumi bila ya wewe mwenyewe kutambua.Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
Hao uliowataja ndiyo wanaoeneza chuki. Sababu zipo wazi.
Hii bandari hakuna siasa, hakuna raia, ni chuki na ubaguzi wa kijinga.
Ingekuwa nchi ya wazungu ndiyo inapewa mkataba yasingekuwepo yote haya.
Wenye akili washaelewa hilo.
Mkuu wote uliowataja wako nyuma ya Mpina, mbunge wa Kisesa, MwanzaHivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
wewe ulieuona mkataba unaona upo sawa?Tafuta uelewa wa mkataba kwanza ili uwe na cha maana cha kuhoji. Unaweza kuwa unatumika na maadui wa kiuchumi bila ya wewe mwenyewe kutambua.
Katiba mpya!!Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
Unaweza kuwa ni mtu wa karibu wa Profesa Tibaijuka au ni yeye mwenyewe, unahangaika na kuweweseka kichwani.Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari kila wakati.
Hivi ninyi wanasiasa mnashindwa kutetea mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo sababu ya kulinda vyeo na nafasi zenu za kisiasa?
Huo mkataba wa bandari hauhusiani na siasa na kuna raia wengi sana, raia wengine ni wanasheria wazoefu wamekosoa mkataba wa bandari kwa uwazi kabisa kwamba huo mkataba una mapungufu makubwa yenye lengo la kuuza sehem muhim katika nchi yetu.
Kwanini mkataba unakua mzuri kwa watu wachache waliopo CCM tu ila unapingwa na asilimia kubwa ya wananchi na wakati wote tupo katika nchi moja?
CCM mnafaidika nini na huo mkataba hadi mmeamua kuwalinda hao waarabu kwa jambo hatari kwa nchi kama hilo?
Dkt. Bashiru Ally, Humphrey Polepole, Profesa Kabudi, Waziri mkuu Kasim Majaliwa na wazalendo wengineo, ninyi pia mmekubali huyo bibi awazidi akili hadi kufanya jambo la kuhatarisha nchi kama hilo na mpo kimya, ili kulinda nafasi zenu za kisiasa?
Wito wangu kwa watanzania, tujifunze kulinda mali zetu kwa vizazi kwa namna nyinginezo ikiwemo maandamano na migomo kuliko kutegemea wanasiasa washenzi wanaojali matumbo yao ya kifisadi na kusahau hatma kubwa ya nchi na urithi wake.
Hili jambo la bandari haliwezi kupita hivi hivi, lazima tufute huo mkataba kwa heri au kwa shari
umekosea sana, cm haina nidhamu ya hali ya juu, sema ina unafiki wa hali ya juu na kishetani kabisa wakiongozwa na genge la msogakm hujui mfumo wa uongozi wa CCM kajifunze. Waziri mkuu ni katibu wa baraza la mawaziri, ni kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bado unatgemea apinge jambo la serikali yake anayoiongoza mwenyewe? Hiyo ni akili ya wapi. Hao wengine Kabudi, Polepole na Bashiru wanaufahamu utaratibu wa chama chao hawawezi kupinga hadharani hata km wana mawazo mbadala wana vikao vyao wanawekana sawa ndipo hutoki na msimamo moja. CCM ni chama cheney nidhamu ya hali ya juu hakuna mambo ya kuropokaropoka hadharani
tuendelee kupambana bandari ibakiHao uliowataja eti wazalendo ndio traitors wakuu , wanauza nchi wazi tukiona ,bandari ni kitu sensitive Sana kuachia waarabu hivi hivi tu tena bandari iliyojengwa Ina kila kitu , hizo agreements zikiletwa hadharani zote ,risasi ndo watapewa tu wana CCM ,siku yaja ,top brass nchi hii hawataila watakavo
wewe umeelewa nini kuhusu huo mkataba hadi unataka wanaotoa maoni watafute uelewa?Tafuta uelewa wa mkataba kwanza ili uwe na cha maana cha kuhoji. Unaweza kuwa unatumika na maadui wa kiuchumi bila ya wewe mwenyewe kutambua.