CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 309
- Thread starter
- #41
Upo vizuri, dawa ni kuua chatu kwa kweliUkiwa ndani ya tumbo la Chatu wa Kijani utaenda na matakwa ya Chatu huyo.
Chatu auwawe kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo vizuri, dawa ni kuua chatu kwa kweliUkiwa ndani ya tumbo la Chatu wa Kijani utaenda na matakwa ya Chatu huyo.
Chatu auwawe kwanza.
kama ni hivyo ipo sawa, ila waache unafiki CCM sio baba yao na wala sio Mungu.Mkuu wote uliowataja wako nyuma ya Mpina, mbunge wa Kisesa, Mwanza
Wewe una laana na kizazi chako chote kitakua na laana usipoacha huo ushenzi, sijui wewe ni babu, bibi, mama au ni shoga au msagaji sababu unajijua mwenyewe ulivyo hivyo ujumbe wangu umekufikiaMchezo wa bandari umekwisha, uliowataja wote wameufyata.
Sasa tuko kwenye kuiomba serikali ifute misamaha yote ya kodi kwa taasisi za kidoni.
Pia Serikali isitowe pesa kupeleka sadaka kwenye taasisis za kidini. Kila taasisi ijitegemee kwa njia zake, haiwezi, ijifunge milango yake iwaachie wanaoweza kujiendesha bila kuitegemea serikali.