Mchezo wa bandari umekwisha, uliowataja wote wameufyata.
Sasa tuko kwenye kuiomba serikali ifute misamaha yote ya kodi kwa taasisi za kidoni.
Pia Serikali isitowe pesa kupeleka sadaka kwenye taasisis za kidini. Kila taasisi ijitegemee kwa njia zake, haiwezi, ijifunge milango yake iwaachie wanaoweza kujiendesha bila kuitegemea serikali.