Kaburi la Kanumba lapusuka na kutitia....

hatimae kanumba kujaza server za jf mwezi huu..
 
mhh hakuna cha ajabu hapa.


mmh! wallah kamati ya mazishi ilifaidika mno! yaani wanatamani mwingine afe wadhi ile wapate pa kuhemea! mmmhhhh wafisadistan ni kiboko!
 
tutasikia mengi ambayo hayana hata maana,
 
nikisema mtasema toa uzee hapa,
ila kikwetu hiyo siyo dalili nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…