Kaburi la Kanumba lapusuka na kutitia....

Kaburi la Kanumba lapusuka na kutitia....

mhh hakuna cha ajabu hapa.


mmh! wallah kamati ya mazishi ilifaidika mno! yaani wanatamani mwingine afe wadhi ile wapate pa kuhemea! mmmhhhh wafisadistan ni kiboko!
 
kabuli la Kanumba.jpg

hapo juu ni kabla ya kupasuka

maajabu ya kaburi la Kanumba.jpg

baada ya mpasuko.
 
nikisema mtasema toa uzee hapa,
ila kikwetu hiyo siyo dalili nzuri.
 
Back
Top Bottom