samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
jibuni alienda kufanya nini wakati wa half time? sio kuleta za kuleta hapa.kwanza Takukuru wapo mlangoni kwenu wanawacheki kuanzia huyo na yule mtema mipira karibu na adui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoya, tutake radhi...maana hapo umevuka mipaka ya utani. Ulikosa tusi lingine mpaka utukane zito namna hiyo?Ushahidi wa kununuliwa eti walifungwa goli dakika za nyongeza.nahisi ukitumia jezi ya kiccm unakuwa na akili za Kibashite
Hii ilikuwa jana wakati wa mapumziko kiongozi wa Simba makamu wa rais Kaburu alienda kuwasalimia viongozi wa Mbao kubadilishana mawazo