jibuni alienda kufanya nini wakati wa half time? sio kuleta za kuleta hapa.kwanza Takukuru wapo mlangoni kwenu wanawacheki kuanzia huyo na yule mtema mipira karibu na adui
Hii ilikuwa jana wakati wa mapumziko kiongozi wa Simba makamu wa rais Kaburu alienda kuwasalimia viongozi wa Mbao kubadilishana mawazo https://www.facebook.com/