Kabwili ni kichaa...lakini walio nyuma yake si vichaa

Kabwili ni kichaa...lakini walio nyuma yake si vichaa

Hii issue inafikirisha sana. Eti kwamba...

1.Simba hawakuona kipa mwingine wa kumhonga pale Yanga zaidi ya Kabwili? Kwamba Kabwili ni 'mkali' langoni kuwazidi Farouk Shikalo na Metacha Mnata? Maana ukitaka kuhonga lazima umhonge mchezaji mwenye impact kubwa kuliko wengine wa aina yake. HII SI KWELI! Dogo anataka kujipa kick mbele ya Shikalo na Metacha Kwamba angekosekana langoni hao wengine ni mapazia tu langoni na hivyo Simba ingeshinda kilaini. SI KWELI.

2.Thamani ya kadi mbili za njano ni IST na si kitu/fedha nyingine yoyote tofauti na IST? Je, kadi nyekundu ya moja kwa moja itathaminishwa na nini? Labda Range Rover. Na je, kama Simba wangetaka acheze ila aachie magoli ingepaswa wapande dau kwa kumpa gari aina ya Ferrari ambalo thamani yake ni zaidi ya Range rover (kwa ajili ya straight red card) na IST (kwa ajili ya yellow card) ?

3.Kabwili anataka kusema kwamba hata kadi nyekundu za juzi dhidi ya Mohammed Issa 'Banka' na yule beki-mshambuliaji Ally Mtoni 'Sonso' nazo zihusishwe na Simba?

Dogo baada ya kuona hana uhakika wa namba pale Yanga naona ameamua kuji-brand kwa namna nyingine ili angalau na yeye aendelee kuandikwa gazetini na kuzungumzwa zungumzwa kwa media zinginezo. NA SOKA NDO KWAHERI HIVYO.
 
Hii issue inafikirisha sana. Eti kwamba...

1.Simba hawakuona kipa mwingine wa kumhonga pale Yanga zaidi ya Kabwili? Kwamba Kabwili ni 'mkali' langoni kuwazidi Farouk Shikalo na Metacha Mnata? Maana ukitaka kuhonga lazima umhonge mchezaji mwenye impact kubwa kuliko wengine wa aina yake. HII SI KWELI! Dogo anataka kujipa kick mbele ya Shikalo na Metacha Kwamba angekosekana langoni hao wengine ni mapazia tu langoni na hivyo Simba ingeshinda kilaini. SI KWELI.

2.Thamani ya kadi mbili za njano ni IST na si kitu/fedha nyingine yoyote tofauti na IST? Je, kadi nyekundu ya moja kwa moja itathaminishwa na nini? Labda Range Rover. Na je, kama Simba wangetaka acheze ila aachie magoli ingepaswa wapande dau kwa kumpa gari aina ya Ferrari ambalo thamani yake ni zaidi ya Range rover (kwa ajili ya straight red card) na IST (kwa ajili ya yellow card) ?

3.Kabwili anataka kusema kwamba hata kadi nyekundu za juzi dhidi ya Mohammed Issa 'Banka' na yule beki-mshambuliaji Ally Mtoni 'Sonso' nazo zihusishwe na Simba?

Dogo baada ya kuona hana uhakika wa namba pale Yanga naona ameamua kuji-brand kwa namna nyingine ili angalau na yeye aendelee kuandikwa gazetini na kuzungumzwa zungumzwa kwa media zinginezo. NA SOKA NDO KWAHERI HIVYO.
Kipindi hicho makipa walikuwa wawili tu kindoki na yeyemwenyewe menata na shikalo walikuwa bado hawajasajiliwa Yanga.
 
Kipindi hicho makipa walikuwa wawili tu kindoki na yeyemwenyewe menata na shikalo walikuwa bado hawajasajiliwa Yanga.
Imebainika kwamba uongozi wa Yanga ndio waliompigia simu kumjaribu kama atahongeka,walivyoona kakaza wakapata imani naye wakampanga. Hali imechafuka huko Yanga,wanamlaumu Kabwili kwa nini hakuwasiliana na club kabla ya kuropoka
 
Imebainika kwamba uongozi wa Yanga ndio waliompigia simu kumjaribu kama atahongeka,walivyoona kakaza wakapata imani naye wakampanga. Hali imechafuka huko Yanga,wanamlaumu Kabwili kwa nini hakuwasiliana na club kabla ya kuropoka
Hiyo habari umepata wapi?
 
Weka ushahidi hapa.Huo ninukweli na ni kawaida simba kuhonga.Tena hata mwenye akili zisizo timamu inaonesha ni ukweli dhahiri kuwa simba walituma kumhonga dogo au ni kikundi kidogo cha wanasimba nje ya utawala walijichangisha ili wamhonge dogo.
Huwa najiuliza kauli za 5-0 leo simba tunashinda zinatoka wapi na litimu la wazee akina kagere na Okwi kumbe kwasababu mwanajua kuwa tumehonga hamjui kuwa kuna mtu unaweza kumhonga na bado akakichafua wananjani na usimfanye kitu dadeki
Imebainika kwamba uongozi wa Yanga ndio waliompigia simu kumjaribu kama atahongeka,walivyoona kakaza wakapata imani naye wakampanga. Hali imechafuka huko Yanga,wanamlaumu Kabwili kwa nini hakuwasiliana na club kabla ya kuropoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii issue inafikirisha sana. Eti kwamba...

1.Simba hawakuona kipa mwingine wa kumhonga pale Yanga zaidi ya Kabwili? Kwamba Kabwili ni 'mkali' langoni kuwazidi Farouk Shikalo na Metacha Mnata? Maana ukitaka kuhonga lazima umhonge mchezaji mwenye impact kubwa kuliko wengine wa aina yake. HII SI KWELI! Dogo anataka kujipa kick mbele ya Shikalo na Metacha Kwamba angekosekana langoni hao wengine ni mapazia tu langoni na hivyo Simba ingeshinda kilaini. SI KWELI.

2.Thamani ya kadi mbili za njano ni IST na si kitu/fedha nyingine yoyote tofauti na IST? Je, kadi nyekundu ya moja kwa moja itathaminishwa na nini? Labda Range Rover. Na je, kama Simba wangetaka acheze ila aachie magoli ingepaswa wapande dau kwa kumpa gari aina ya Ferrari ambalo thamani yake ni zaidi ya Range rover (kwa ajili ya straight red card) na IST (kwa ajili ya yellow card) ?

3.Kabwili anataka kusema kwamba hata kadi nyekundu za juzi dhidi ya Mohammed Issa 'Banka' na yule beki-mshambuliaji Ally Mtoni 'Sonso' nazo zihusishwe na Simba?

Dogo baada ya kuona hana uhakika wa namba pale Yanga naona ameamua kuji-brand kwa namna nyingine ili angalau na yeye aendelee kuandikwa gazetini na kuzungumzwa zungumzwa kwa media zinginezo. NA SOKA NDO KWAHERI HIVYO.
Wakati wa Kindoki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ndio zenu kuhonga. Unashangaa Kabili kuhongwa. Simba Wana wahonga mpaka makipa wao wenyewe waachie nyavu.

Refer to kesi ya Mwameja in the infamous Simba Vs Stella Abidjan ( 1993)
Hili hata Mwameja alilisema baada ya Kanjibai Azim Dewji kutoa ahadi ya Kia/Chai Maharage kwa kila mchezaji wa Mikia kupewa gari Moja Moja ikiwa watachukua kombe. Usiku wa kuamkia match Azim alimfuata Mwameja na kumpa kitita kirefu cha hela ili Simba ifungwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii issue inafikirisha sana. Eti kwamba...

1.Simba hawakuona kipa mwingine wa kumhonga pale Yanga zaidi ya Kabwili? Kwamba Kabwili ni 'mkali' langoni kuwazidi Farouk Shikalo na Metacha Mnata? Maana ukitaka kuhonga lazima umhonge mchezaji mwenye impact kubwa kuliko wengine wa aina yake. HII SI KWELI! Dogo anataka kujipa kick mbele ya Shikalo na Metacha Kwamba angekosekana langoni hao wengine ni mapazia tu langoni na hivyo Simba ingeshinda kilaini. SI KWELI.

2.Thamani ya kadi mbili za njano ni IST na si kitu/fedha nyingine yoyote tofauti na IST? Je, kadi nyekundu ya moja kwa moja itathaminishwa na nini? Labda Range Rover. Na je, kama Simba wangetaka acheze ila aachie magoli ingepaswa wapande dau kwa kumpa gari aina ya Ferrari ambalo thamani yake ni zaidi ya Range rover (kwa ajili ya straight red card) na IST (kwa ajili ya yellow card) ?

3.Kabwili anataka kusema kwamba hata kadi nyekundu za juzi dhidi ya Mohammed Issa 'Banka' na yule beki-mshambuliaji Ally Mtoni 'Sonso' nazo zihusishwe na Simba?

Dogo baada ya kuona hana uhakika wa namba pale Yanga naona ameamua kuji-brand kwa namna nyingine ili angalau na yeye aendelee kuandikwa gazetini na kuzungumzwa zungumzwa kwa media zinginezo. NA SOKA NDO KWAHERI HIVYO.
Wewe Mbumbumbu hata hujui kinachoongelewa na wakati gani tukio lilitokea. Wakati huo Magolikipa wa Yanga walikuwa Kakolanya ambae wakati huo alishasimamishwa, Kabwili na Kindoki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo hajahongwa na mtu..Mwalimu Nyerere wakati Tanzania na Malawi tunagombea mpaka wa ziwa nyasa..na Kamuzu Hastings Banda akiwa na uungwaji mkono mkubwa wa mabeberu (Afrika ya Kusini, Ureno, Uingereza, na Ureno)..Banda alikuwa anataka vita tu na Tanzania! Mwalimu katika moja ya hotuba zake akasema...:
"Banda is an insane but the powers behind Banda are not insane (kwamba Banda ni kichaa...lakini walio nyuma yake si vichaa)"! Exactly ndiyo hili suala la Kabwili..anajiona ana tengeneza:
1. Tension kwa Simba
2. Kuidhoofisha Simba
3. Kuiamsha Yanga
4. Kuamsha ari ya Yanga
5. Vita ya kisaikolojia
6. Kujiweka pazuri na ubingwa
7. Kutafuta kick
NB: Kikubwa viongozi wa Simba wakomae..athibitishe mbele ya TAKUKURU kauli zake za kuichafua Simba yetu...akishindwa kuthibitisha ashitakiwe kwa "perjury" kwa mujibu wa sheria ya ushahidi...kabwili hana soka..kaisha..kipa asiye na ushindani..kipa asiye na namba...kick tupu..mpira wa bongo bana..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2439][emoji2439][emoji2439][emoji2439]

CHA KUSIKITISHA DOGO NI MCHELE MCHELEView attachment 1338754

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mmeanza kujitetea subiri wazee wa kazi wapekue namba hizo ili wahusika wapelekwe korokoroni
 
Imebainika kwamba uongozi wa Yanga ndio waliompigia simu kumjaribu kama atahongeka,walivyoona kakaza wakapata imani naye wakampanga. Hali imechafuka huko Yanga,wanamlaumu Kabwili kwa nini hakuwasiliana na club kabla ya kuropoka
Hii mmeamua kupooza mambo baada ya boss wenu kuumbuka
 
Kumdhihaki kwa sababu ya maumbile yake au muonekane wake ,haimfanyi awe na hatia ,kwann tusiruhusu vyombo vinavyohusika vikafanya kazi yake ,kumkandamiza dogo ni kumyima haki ya msingi ambayo kila siku tunapiga kelele kwamba tunahitaji haki ,haki inaanza kumsikiliza anayetoa malalamiko ,tuache vyombo vya kisheria vifanye kazi yake tuache kukashifu na kudhihaki watu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule GK mtoto wa Manzese, GK wa zmn Madrid, alifatwa aondoke Mashambani kwenda Kariakoo! Mtu Mweupe kutoka Kariakoo akaweka 10% yake ambayo yule GK manywele akaigomea, alidai atachosaini ndicho atakachochukua! Ikawa! Hatoi cha juu! Basi tajiri akamlaani "njoo lkn hutadakia timu yetu" Na kweli maskini dogo alivunjwa goti Kusini huko kabla ya Derby na hapo ukawa mwanzo wa mwisho wake Kariakoo! Yupo zake Pwani huko anaendelea na soka, ukimskiza anasema hana hamu tena na timu za Kkoo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika nn sasa
Yule GK mtoto wa Manzese, GK wa zmn Madrid, alifatwa aondoke Mashambani kwenda Kariakoo! Mtu Mweupe kutoka Kariakoo akaweka 10% yake ambayo yule GK manywele akaigomea, alidai atachosaini ndicho atakachochukua! Ikawa! Hatoi cha juu! Basi tajiri akamlaani "njoo lkn hutadakia timu yetu" Na kweli maskini dogo alivunjwa goti Kusini huko kabla ya Derby na hapo ukawa mwanzo wa mwisho wake Kariakoo! Yupo zake Pwani huko anaendelea na soka, ukimskiza anasema hana hamu tena na timu za Kkoo!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom