Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Huku mtaani vijana wengi sana wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za bendera ya Kenya na Uganda kuliko za Tanzania.

Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?

Wamekosa uzalendo au?

Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha

Au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu.

imgres.jpg


imgres.jpg

131233903_382643999504310_4967237904963581310_n.jpg
 
Mkuu Ni kweli kabisa.. kacha ya Kikenya Ni Kali Sana tofauti na yetu.. inayofuatia Ni ya Africa Kusini.. binafsi siwezi kuvaa kacha ya TZ hata jezi ya taifa tu niliishia kugawa.
Mkuu wewe sio mzalendo
 
Ushamba.

Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.

Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despises TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.

Mbongo anafurahi zaidi kufika Nairobi kuliko kufika London.
 
Ushamba.

Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.

Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despise TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.

Mbongo anafurahi zaidi kwenda Nairobi kuliko kufika London.
Nahisi Nai ni karibu kuliko UK
 
Back
Top Bottom