aisee yan me nmevaa kacha miaka 2 ndo nagundua hv juzi kumbe ni ya jamaica wala sikuwa na habari rangi ya blue ndo haipo dahHuku wana vaa rangi za Jamaica....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee yan me nmevaa kacha miaka 2 ndo nagundua hv juzi kumbe ni ya jamaica wala sikuwa na habari rangi ya blue ndo haipo dahHuku wana vaa rangi za Jamaica....
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1677][emoji1677]Kwanini uvae ya kenya na usivae ya nchi
Yako?
Hivi kuna mkenya anavaa hiyo kitu ya tanzania?
Ova
Ndugu yangu ni chindende balaahuyo kwenye hiyo picha ya mwisho apunguze mwili anaonkana kibonge kwelikweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee yan me nmevaa kacha miaka 2 ndo nagundua hv juzi kumbe ni ya jamaica wala sikuwa na habari rangi ya blue ndo haipo dah
Kibera ipo wapi?Mkuu Nairobi ni pazuri. Hivi utalinganisha Nairobi ni miji yetu ya kimachinga kweli? Kila mahali ni uchafu na kunanuka?
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1][emoji1]Naona umeamua kuja kidiplomasia zaidi jombaa. 😀 Mimi huwa sina huo muda hata wa kuwaza tu, achia mbali kuumwa. Kisa rangi au bendera ya nchi yoyote ile nyingine, sio tukiwa na kitu safi kama hiki.![]()
Nai is not their count imenunuliwa na mabeberu😀😀😀 Alafu huwa wanakujibu vipi? Maanake ingekuwa wote wanaozivalia ni wakenya kweli Kenya ingekuwa na diaspora moja ya kufa mtu kwenye kila kona duniani.![]()
Sasa Kibera walau inajulikana. Kwa hali ilivyo sasa Dar yote ni sawa na Kibera tu. Kila mahali vurugu. Siyo Masaki wala O' bayKibera ipo wapi?
Sijakuelewa, unamaanishaje?Nai is not their count imenunuliwa na mabeberu
Hiyo ya Tanzania rangi ya njano ndio shida maana wanadai yakwao@CCMHuku mtaani vijana wengi sana wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za bendera ya Kenya na Uganda kuliko za Tanzania.
Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?
Wamekosa uzalendo au?
Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha
Au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihuView attachment 1652306