EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wakenya wanaishi manzese??Hao wanao zivaa lazima watakuwa Wakenya na Waganda. Watanzania nasi tuvae kacha zetu au siyo!?
Nampata wapi??Haya malalamiko yapeleke kwa jiwe
Huko wapi??Huku wana vaa rangi za Jamaica....
Mkuu wewe sio mzalendoMkuu Ni kweli kabisa.. kacha ya Kikenya Ni Kali Sana tofauti na yetu.. inayofuatia Ni ya Africa Kusini.. binafsi siwezi kuvaa kacha ya TZ hata jezi ya taifa tu niliishia kugawa.
Nashauri tuanzishe Operation kila atakayekutwa kavaa kacha za nchi nyingine ahamishiwe hiyo nchiKama wote wanaovaa weka ndani.
Pale magogoni au usubiri siku ya ziaranampata wapi??
Nahisi Nai ni karibu kuliko UKUshamba.
Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.
Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despise TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.
Mbongo anafurahi zaidi kwenda Nairobi kuliko kufika London.
Mkuu Ni kweli kabisa.. kacha ya Kikenya Ni Kali Sana tofauti na yetu.. inayofuatia Ni ya Africa Kusini.. binafsi siwezi kuvaa kacha ya TZ hata jezi ya taifa tu niliishia kugawa.
HUKU ALISHAKIMBIA TOKA ENZI ZA cov-19Pale magogoni au usubiri siku ya ziara
Tupe maoni yako nini shida kwa hawa watuNilikuwa najiuliza sana sababu ya hili jambo, naliona sana huko twitani, shukrani kwa kulileta.
nahisi Nai ni karibu kuliko UK
Ndiyo wapo wengi tu, wewe unauliza Wakenya, huku kwetu tunaishi na Wachina, Warusi, Wakorea na hata Africa American (Wamarekani Weusi!) kibao. Itakuwa Wakenya!?wakenya wanaishi manzese??