Ndio utumbo wa mbuzi unaliwa...! Uko Emirates hamli nyama ya mbuzi?ninajiuliza utumbo wa mbuzi unaliwa,,,tangu nilipoiona hii thread lakini sipati jibu au mtoa mada alikuwa na maana nyengine???????????
ninajiuliza utumbo wa mbuzi unaliwa,,,tangu nilipoiona hii thread lakini sipati jibu au mtoa mada alikuwa na maana nyengine???????????
Zamani ulikuwa ukifanya kazi Bar nini... Sehemu ya kuuza supu na utumbo wa mbuzi!Unaliwa mama tena usiombe nikakupikia mimi....
Zamani ulikuwa ukifanya kazi Bar nini... Sehemu ya kuuza supu na utumbo wa mbuzi!
Mama, kwani nakuzuga vipi tena,wenzetu hawana kawaida ya kuficha yaliyo mioyoni mwao,akipenda kitu anakueleza hapohapo na ukweli ni kuwa sikuwa nimemtongoza ila nilikuwa na mpango huo.
Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.
Houseboy au housegirl...................................................ufafanuzi kwanza please...........................
Ni hiyohiyo supu hakuna kingine mkuu.
Mkuu naomba upate nyingine kwa bili yangu,umenifurahisha sana maana hilo la bahati nilikuwa sijaliangalia.
Halafu ngosha kumbe wewe na wachina ni shareholder? nilikuwa sijui hilo lkn sasa nimeliona mkuu
Huyo akila wa bata lazima asali kwanza maana wenyewe huanza kutoka kupata hewa safi kwanza...
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.
Ndio utumbo wa mbuzi unaliwa...! Uko Emirates hamli nyama ya mbuzi?
Kwa mjerumani hata usingekua unasifa ya kupika, kua house boy kwao ujue ni lazima, labda usiende kuishi kwao, muishi hukuhuku napo kama atakubali hiyo ndo kasheshe ingine.
Ndio utumbo wa mbuzi unaliwa...! Uko Emirates hamli nyama ya mbuzi?
Unaliwa mama tena usiombe nikakupikia mimi....