mawazoyangu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 324
- 65
Si umemsikia mzee amesema wale manahofa wa panton hakuchukua majina yao coz alikuwa na haraka, jiongeze hapondio maana kimefanyiwa editing kaka, inawezekana hizo njia za underground bado zipo na zinatumika mpaka sasa ila wakaamua kusingizia pantoni la watu maskini
Ulitaka atoroke na Helicopter?Halafu umewaza mbali sana. Inawezekana kabisa ikawa hivyo. Maana haiingii akili kwa mtu aliyekuwa akiwindwa na wanajeshi akatoroka kirahisi tu kwa kutumia pantoni.
Upo sahihi ndio mana akajifanya hakuuliza majina ya mabaharia wale.ndio maana kimefanyiwa editing kaka, inawezekana hizo njia za underground bado zipo na zinatumika mpaka sasa ila wakaamua kusingizia pantoni la watu maskini
Umesema sahihi kabisa...habari za uhakika zimeshachujwa yamebaki makapi tupu humo...sijui kwa nini watu hawapendi kueleza hali halisi..this is stupidMwandishi wa Kitabu amekiri kuwa hicho kitabu kilihaririwa na Idara za Usalama kabla ya kuruhusiwa kukitoa hadharani. kimejaa Diluted story ile habari ya kuwa Wazee walivalishwa Ma baibui ya Wa Mama wa Pwani kuepuka kutambuliwa haionekani sasa sijui imefutwa au imefutika au imesahaulika?
Yeriko..hayo ni mabaki tu nyama zenyewe haswa wameshazitoa...kama katiba ya wariobaNikizuri sana nimeshapata nakala yake, Wazee wetu hawa ni hazina ya pekee
Nimewahi kuuliza humu ndani kama Tanzania tuna taratibu za de-declassify taarifa za usalama, kuna watu wakataka kunitoa roho.
Sometimes watu wanashindwa ku-appreciate kazi za idara zetu za usalama kwa sababu ya usiri uliopitiliza.
Nilipewa hadithi ya ni namna gani makachero wa Tanzania walivyowadhibiti wanasiasa wa ZAPU wakati wa mazungumzo na ZANU huko Jamaica. Fascinating story sema haziandikwi
Please shed more light on that point.
Duuh kumbe hatari mkuu hebu kama una nyama zingine utujazie sie wengine kizazi cha dot com hatuna hili wala lileIlikuwa hivi kulikuwa na Mugabe na chama chake cha ZANU wakiwa madarakani in Zimbwabwe, plus ZAPU chini ya Nkomo, sasa kukawa na minor civil war between the two parties. Issue ikawa ni namna gani wanamaliza hili tatizo. Kukawa na meeting in Jamaica ya wawakilishi wa the two parties, sasa makachero wa Tanzania walikuwa wanafuatilia sana hili swala cause Tanzania ilikuwa moja kati ya nchi zenye stake na hili swala.
Kilichotokea,
Wakorofi kutoka ZAPU wakawa-identified mapema, wakati wa mkutano, 'wakorofi' wakapokewa airport huko Kingston na makachero wa Tz, wakapelekwa kwenye hotel wakafungiwa huko mpaka mkutano ukaisha, the soft guys wakasaini na ZANU... Problem solved, wakarudi Zimbwabwe ndio mwanzo wa ZANU-PF
Stori hii inafurahisha na kusisimua. Kwamba TISS walifanya 'umafia' ugenini ni jambo linalokufanya ujivunie heshima ya Tanzania katika harakati za ukombozi Afrika. Ndo maana Mugabe ana heshima kubwa kwa taifa hili, hasa watu kama Nyerere, SAS na Hashimu Mbita. Shukrani kwa kushare, vijana wajifunze na wawe proud wanavyoenda huko nchi za SADC.Ilikuwa hivi kulikuwa na Mugabe na chama chake cha ZANU wakiwa madarakani in Zimbwabwe, plus ZAPU chini ya Nkomo, sasa kukawa na minor civil war between the two parties. Issue ikawa ni namna gani wanamaliza hili tatizo. Kukawa na meeting in Jamaica ya wawakilishi wa the two parties, sasa makachero wa Tanzania walikuwa wanafuatilia sana hili swala cause Tanzania ilikuwa moja kati ya nchi zenye stake na hili swala.
Kilichotokea,
Wakorofi kutoka ZAPU wakawa-identified mapema, wakati wa mkutano, 'wakorofi' wakapokewa airport huko Kingston na makachero wa Tz, wakapelekwa kwenye hotel wakafungiwa huko mpaka mkutano ukaisha, the soft guys wakasaini na ZANU... Problem solved, wakarudi Zimbwabwe ndio mwanzo wa ZANU-PF
Ukweli ni kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana na ya heshima kupita kiasi. Lakini kwa sababu they are silent warriors wanatukanwa na kudharauliwa sana.Stori hii inafurahisha na kusisimua. Kwamba TISS walifanya 'umafia' ugenini ni jambo linalokufanya ujivunie heshima ya Tanzania katika harakati za ukombozi Afrika. Ndo maana Mugabe ana heshima kubwa kwa taifa hili, hasa watu kama Nyerere, SAS na Hashimu Mbita. Shukrani kwa kushare, vijana wajifunze na wawe proud wanavyoenda huko nchi za SADC.
Kinauzwa 15,000,duka la vitabu la TPH.
Kina habari nyingi kama vile Mwal alivyokataa kupanda ndege ya Mobutu,walinzi wa Nyerere kutaka kumzuia Iddi Amini asimsalimie Mwal.
Mwalimu kukataa kujengwa uzio wa waya Nyumbani kwake msasani na kumfokea mlinzi kwanini walijenga uzio bila kumshirikisha ,lakini baada ya kuuwawa kwa wanasiasa kama Tom Mboya na Karume akawa mpole .
Hapa nimekupenda bure nyanya yangu,una visa wewe.Hiyo story ya kwanza tu inaonesha porojo.
Nadhani kitabu kilingoja waliomtorosha kweli waage dunia.
usiishie kuwaza ni watu hatari sana tu, tanua kidogo akili yako kwa kuwaza namna ya kuwadhibiti wasije kukusumbua na mbinu zao hizo unazodhani hazina namna ya kuzizuia.wazungu hubadili mbinu zao za mchezo kila sekunde na kila dakika ndio maana hata kazi za secret service zinafanyiwa applicaton kama vile unenda kusoma UDOM ama UDSM........wazungu wanawaza hivi kesho adui yake anaweza akawa anawaza nini??? wazungu wanawaza kinachoweza kuwa katika akili yako hata kabla ya wewe mwenyewe kukijua.........wazungu ni watu hatari sana!!!!!!!
Ahsante kwa kuwa Mzalendo mtafute na yule makengeza waukawa asome hii thread wakumbushe na wafuasi wake kuwa hii nchi imetoka mbali laiti enzi hizo kungekuwa na wenye maamuzi ya oyo kama ya Chama chake sijui hili Taifa leo lingekuwa wapi. Hongereni Watumishi wote wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa namna mlivyojitolea maisha yenu kwa ajili ya Taifa hili na muwapuuze wanasiasa wote UCHWARA wanaowavunja moyo. MUNGU AWABARIKI SANAUkweli ni kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana na ya heshima kupita kiasi. Lakini kwa sababu they are silent warriors wanatukanwa na kudharauliwa sana.