Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Wakimrudisha CCM uwaziri mkuu au umakamu wa rais Ni halali yake.
Amekwenda kunogeshaNiko hapa Kijiji cha Mnala, Chiponda mkoani Lindi. Kuna ziara ya PM Majaliwa. Miongoni mwa wageni maarufu waliofika kumpokea mbali na Nape Nnauye ni pamoja na Membe aliyepokewa kwa heshima kubwa na wana CCM. Najiuliza je, leo anarejea chama chake cha zamani? Tusubiri dakika chache zijazo. Ova!
Kupitia kwa Msoga camp
🤣🤣🤣🤌🤏😆unafikiri alitoka? ile ilikuwa danganya toto,alikuwa kazini kutumikia chama chake
Ccm haina mvuto tenaNiko hapa Kijiji cha Mnala, Chiponda mkoani Lindi. Kuna ziara ya PM Majaliwa. Miongoni mwa wageni maarufu waliofika kumpokea mbali na Nape Nnauye ni pamoja na Membe aliyepokewa kwa heshima kubwa na wana CCM. Najiuliza je, leo anarejea chama chake cha zamani? Tusubiri dakika chache zijazo. Ova!
Chairowner wa 2020 hakuonekana kushtukaunafikiri alitoka? ile ilikuwa danganya toto,alikuwa kazini kutumikia chama chake
Hawa kwenye terms za engineering Ni "SPENT FORCES"Nasikia Kati ya bashiru na polepole
Kwani kipi kikubwa Kati ya HAKI na RUSHWA hapa kwetu?Ingawa membe alikuwa anadonoa donoa lakini Lissu pekeee alimkabili Vampaya.
Kujibu hoja za huyu chawa ni kupoteza muda.PGO zinawatoa kamasi.
Unatia kinyaa hujui hata tafsri rahisi ya neno GAIDI ! Ulisoma wapi sijui? Embu tulia utafte tafsir ya neno gaidi kwanza unashangaza kweli weweTimu gaidi tuone watamsajili nani mwaka 2025
Chawa ni chawa tuKumbe Membe hakugombea urais 2020? Dishi limeyumba.
Membe alifukuzwa na kamati kuu ya ccm ambayo Samia ,Majaliwa, Mangula bado wapo.
Binadamu siyo wanyama, kwamba ukishawapa majani wanamsubir kuchinjwa. Wapo wajinga wachache hapa nchini wanafikiria ukijenga mabarabara,zahanati, flyovers, shule nk. Nahitaji yao yameisha.. sisi siyo wanyama tuna nahitaji zaidi ya barabara.... ( jeneral twaha ulimwengu, leo)Kumbe Membe hakugombea urais 2020? Dishi limeyumba.
Membe alifukuzwa na kamati kuu ya ccm ambayo Samia ,Majaliwa, Mangula bado wapo.