SI kaenda mwenyewe kwenye mkutano na kupiga kura ya ndio. Angebaki huko huko jimboni kwake.Mwamba kagoma kabisa kukubaliana na ugombea wa Samia tena.
Ameonyesha ukomavu wa mwanaume kusimama na kile unachokiamini tu.
Kama alipima samaki aliyekaangwa kwa rula tena kwenye buffet , hawezi kuwa na akili. Ujinga mtupuHao ndio vijana waliotakiwa kuongoza,huyo Mpina anaweza kupambana na hoja za Lissu.
Ni mtu ambaye anaweza kusimama kwenye Midahalo.
Hawatamuengua kweli kwenye kura za maoni? Inanipa wasiwasi sanaHahaha
Mwamba haelewi !
Mwaka mgumu sana huu.
Hawezi kuenguliwa.Hawatamuengua kweli kwenye kura za maoni? Inanipa wasiwasi sana
Kama hapendi unafiki atoke ccm atuachie sisi machawaWasukuma huwa hatupendi unafiki 😁jembe langu kabisa brother from sukuma land
Mpima samaki kwa rulerKwani ni nani huyu
Kama vise president kaenguliwa ndio itashindikana kwa mtu kama yeye.Hawatamuengua kweli kwenye kura za maoni? Inanipa wasiwasi sana
Kumbe kuna sababu nyingine nje na ya kuomba kupumzika 🧐Kama vise president kaenguliwa ndio itashindikana kwa mtu kama yeye.
Naunga mkonoHao ndio vijana waliotakiwa kuongoza,huyo Mpina anaweza kupambana na hoja za Lissu.
Ni mtu ambaye anaweza kusimama kwenye Midahalo.
MPINA ni Hazina ,Brain yake ni Brain za Akina LISSU , Yuko Gifted sanaaa.Jamaa ni kama ameletwa kwenye mkutano kwa Lazima, sasa atahamia chama gani
Mwamba kagoma kabisa kukubaliana na ugombea wa Samia tena.
Ameonyesha ukomavu wa mwanaume kusimama na kile unachokiamini tu.
Zipo mia na kadhaa bro.Kumbe kuna sababu nyingine nje na ya kuomba kupumzika 🧐
NI ndugu yako? Naona umeongea kwa hasira sana MkuuMPINA ni Hazina ,Brain yake ni Brain za Akina LISSU , Yuko Gifted sanaaa.
Dola ilitakiwa kufanya matumizi sahihi ya vichwa hivi.
Ila kwakua wajinga wako popote, hulka yao ni visasi Kwa watu werevu
😅Kulikoni tena mbona furaha zero kwa Mwamba wetu
Ila CCM unafiki mwingi sana. Unakuta jitu linajua kabisa sio sawa ila linashangilia tuUzuri wa huyo ndugu, hana unafiki!