Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Hafiki hata kwenye kura za maoni huyo fomu yake itatupwa kwenye dustbin na hataweza uliza popote kwa nini hajaingizwa kwenye kundi la watia nia akashindwe kwenye kura za maoni.Hiyo nafasi hatapata fomu yake itatupwa tu dustbin case closed