Kachukuah...Kawekah... Waaah....!!!

hahahahaa nakumbuka ile thread yako ya catch me if u can boy.....looh sikuwezi

Kasinde is of her own utamuwezajee..?

That's is past now it's kuchukua ...kuweka.... waah. ... ndo mpango mzima.
 
Ndio maana makapuku wanalalamika thread kama hii ingeandikwa na kapuku angeaubiri sana
 
hahahha na imani na kadensi kadogo kalifuata

Hahahahaaaa ulijuajeee? ? Utasema ulikuwepo. ....piga densi kidogoo piga densi kidogoo. ...

Kasie.
 
Ndio maana makapuku wanalalamika thread kama hii ingeandikwa na kapuku angeaubiri sana

Aiseeh sikuwa najua kumbe huwa wanasubiri sana eeeh

Inabidi watu mie hii.... wachukue..... waweke. .... hadi waskie waaaah. ...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Thread kama hizi ni za kuondolea stress.
 
hhahahha nilikuwa nimetegesha camera yangu....so kauhondo hakakunipita

Hahahaaa poleee kwahiyo ulikula ugali kwa picha ya samaki? Looh itakuwa ulipata uhondo ila hukunogewa.
 
Hahahaaa poleee kwahiyo ulikula ugali kwa picha ya samaki? Looh itakuwa ulipata uhondo ila hukunogewa.
huhuhuhu hiyo imenihamasisha siku nyingine nitabook seat mapeemaaa...nisipitiwie tena...waaaah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Thread kama hizi ni za kuondolea stress.

Ivooo eeeh kumbe imeongeza matumizi zaidi ya yaliyokusudiwa. Safi huu ni uvumbuzi umenifunulia sikujua .....

Mwendo wa stress free sio....
 
huhuhuhu hiyo imenihamasisha siku nyingine nitabook seat mapeemaaa...nisipitiwie tena...waaaah

Kabisa next time uwahi mapemaaaa unachukua hiiviiii. ......unaweka hiiviii. .....unasikilizia tuu..... waah ....waah..... waah. ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…