issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
ALIYEKUWA kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paschal Kahangala, amejiengua katika chama hicho na kuanzisha Chama cha Ukombozi na Maendeleo (Chauma).
Kahangala ambaye alipata kuwania ubunge katika jimbo la Nyamagana, lakini alienguliwa katika kura za maoni za chama hicho, alisema amefikia uamuzi huo kwa kuwa amechoshwa na siasa za kibepari.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Kahangala Chauma kipo katika hatua za mwisho za usajili na kuwahamasisha Watanzania kukiunga mkono ili kiweze kuleta mabadiliko ya ukombozi nchini.
"Nimejivua gamba kwa kwa kuanzisha chama ambacho kauli mbiu ni kuboresha maisha ya Watanzania na kurudisha ujamaa na kujitegemea," alisema Kahangala.
Kahangala ambaye alipata kuwania ubunge katika jimbo la Nyamagana, lakini alienguliwa katika kura za maoni za chama hicho, alisema amefikia uamuzi huo kwa kuwa amechoshwa na siasa za kibepari.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Kahangala Chauma kipo katika hatua za mwisho za usajili na kuwahamasisha Watanzania kukiunga mkono ili kiweze kuleta mabadiliko ya ukombozi nchini.
"Nimejivua gamba kwa kwa kuanzisha chama ambacho kauli mbiu ni kuboresha maisha ya Watanzania na kurudisha ujamaa na kujitegemea," alisema Kahangala.