Kada wa CCM amwagiwa tindikali

Kada wa CCM amwagiwa tindikali

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
KWAMBA WASIOJULIKANA HAWACHAGUI WA KUWADHURU? AU TUNAJARIBU KUBALANCE MAMBO DAKIKA ZA JIOOOOOOOOONI, KUELEKEA SEPTEMBER 23
——
Watu wasiojulikana wanadaiwa kumvamia na kummwagia kimiminika kinachosadikiwa kuwa tindikali, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe.

Kada huyo mkazi wa Njoro wilayani Moshi amepata majeraha usoni na mikononi na amelazwa katika Hospitali ya Mawenzi.

Msemaji wa hospitali hiyo, Venna Karia, amesema Septemba 20, saa 3.00 usiku walimpokea mgonjwa huyo anayeendelea na matibabu.

"Septemba 20 tulimpokea mgonjwa anayeitwa Idrissa Makishe akiwa amejeruhiwa usoni na mikononi. Inaonekana alimwagiwa kimimimika kisichojulikana ni cha aina gani ambacho kilimsababishia majeraha hayo," amesema.

Alipotafutwa kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa kuzungumzia tukio hilo hakupatikana.

Screenshot_2024-09-21-16-21-04-608_com.instagram.android-edit.jpg
 

Attachments

  • mwananchi_official_34f4d5782da94cf99df85dfa509633f9.mp4
    4.6 MB
KWAMBA WASIOJULIKANA HAWACHAGUI WA KUWADHURU? AU TUNAJARIBU KUBALANCE MAMBO DAKIKA ZA JIOOOOOOOOONI, KUELEKEA SEPTEMBER 23
——
Watu wasiojulikana wanadaiwa kumvamia na kummwagia kimiminika kinachosadikiwa kuwa tindikali, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe.

Kada huyo mkazi wa Njoro wilayani Moshi amepata majeraha usoni na mikononi na amelazwa katika Hospitali ya Mawenzi.

Msemaji wa hospitali hiyo, Venna Karia, amesema Septemba 20, saa 3.00 usiku walimpokea mgonjwa huyo anayeendelea na matibabu.

"Septemba 20 tulimpokea mgonjwa anayeitwa Idrissa Makishe akiwa amejeruhiwa usoni na mikononi. Inaonekana alimwagiwa kimimimika kisichojulikana ni cha aina gani ambacho kilimsababishia majeraha hayo," amesema.

Alipotafutwa kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa kuzungumzia tukio hilo hakupatikana.
Mbona mna tuchanganya,tunahitaji kuufahamu ukweli na sii habari za kuchanganya kwa manufaa ya genge lolote
 
Kuna habari kama hii imepandishwa humu inasema huyo ni kamanda wa CDM
So which is which!
 
Hapa hakuna chadema! Ni CCMkundi B, ninapigwa na CCM kundi A,
 
Msemaji hajiamini, yuko distracted na hajatulia

hawapati mafunzo?
 
Siasa za kishamba sana hizi za kumwagiana tindikali. Wakamatwe hao wahuni haraka sana na hatua Kali dhidi Yao zichukuliwe.
 
KWAMBA WASIOJULIKANA HAWACHAGUI WA KUWADHURU? AU TUNAJARIBU KUBALANCE MAMBO DAKIKA ZA JIOOOOOOOOONI, KUELEKEA SEPTEMBER 23
——
Watu wasiojulikana wanadaiwa kumvamia na kummwagia kimiminika kinachosadikiwa kuwa tindikali, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe.

Kada huyo mkazi wa Njoro wilayani Moshi amepata majeraha usoni na mikononi na amelazwa katika Hospitali ya Mawenzi.

Msemaji wa hospitali hiyo, Venna Karia, amesema Septemba 20, saa 3.00 usiku walimpokea mgonjwa huyo anayeendelea na matibabu.

"Septemba 20 tulimpokea mgonjwa anayeitwa Idrissa Makishe akiwa amejeruhiwa usoni na mikononi. Inaonekana alimwagiwa kimimimika kisichojulikana ni cha aina gani ambacho kilimsababishia majeraha hayo," amesema.

Alipotafutwa kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa kuzungumzia tukio hilo hakupatikana.
NI DRAMA HIZI BHANA
 
Back
Top Bottom