Kada wa CCM amwagiwa tindikali

Wamejimwagia kimiminika kinachosadikika kuwa Mtindi mkali ili ionekane GG. hahahaha, 2days to go.
 
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe, anayedaiwa kumwagiwa kimiminika kinachosadikiwa kuwa ni tindikali, amehamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kwa matibabu zaidi ya kibingwa.

Kada huyo ambaye ni mkazi wa Njoro, Manispaa ya Moshi na dereva bodaboda, alikutwa na madhila hayo usiku wa Septemba 20, 2024 baada ya mtu mmoja kumkodi akitaka ampeleke eneo la Njoro lililopo wilayani humo.

Inaelezwa kuwa baada ya kufika eneo hilo, mtu huyo aliyemkodi alimtaka asimame ampakie mwenzake ambaye alikutwa eneo la tukio akia amebeba chupa ya maji na nyundo, ndipo zikaanza purukushani hizo na baadaye alimwagiwa kimimimika hicho kilichomsababishia majeraha usoni na mikononi.

Ushahidi Kada wa CCM anayedaiwa kumwagiwa tindikali ahamishiwa KCMC
 
Kugombania buku 7 za Lumumba. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi vyama vyote viandamane kukemea hili jambo (ccm na chadema)
 
SI Bora yeye watoto wake na wazazi wanamuona,

Wakina Ben saanane hawajulikaniki wapi hai au laa.

Ila pole yake.

TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO.
Wahalifu wasakwe na waende mbele ya pilato.
 
Tindikali na risasi alizomiminiwa lisu ipi ni ukatili mkuu hao wanajitekenya wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…