Elections 2010 KADA wa CCM atoboa siri CCM mambo magumu


Hii ni dalili njema ya ushindi
 
....alikuwa mwanajeshi sio kada. na kama ndivyo CCM wako wangapi nchi hii-3million only. Watanzania tuko 42million. Hawatubabaishi kabisa hata kama wangekuwa na mtandao mpaka ******. HATUDANGANYIKI NG'O. KIKWETE HAUZIKI KIPINDI HIKI. HATA AFANYEJE!! WAMECHEZEA KATIBA, WAKALINDA WEZI. HAWANA JIPYA. TUNA KIDUME KIPYA - CHADEMA.
 
:A S 13::hand:MWISHO WA UBAYA NI AIBU. WAENDELEE KUWAHONGA WATAFITI LABDA WATZ WATADANGANYIKA.
 
Ndugu yangu usisahau sentensi ya pili ya huyo nduguyo " ila hatuko tayari kushindwa"- a strong smart strategy is needed to address this by the opposition!!!!
 
Kada hawezi kuongea maneno hayo.. Keshanunuliwa na chadema, au ameahidiwa kuingia bilcanas bure
 
Ni vizuri tunaotaka mabadiriko tukaacha kutoa visingizio,vijijini ndiko walikotoa wabunge wa upinzani na madiwani mijini wanaganga njaa elimu izidishwa kwa watu wa mijini kwamba uchaguzi ni pamoja na madiwani wabunge na Raisi tuamini kipindi za mabadiliko ni sasa
 
Hii propaganda ya sisi m kuwa damu itamwagika na sms zao pamoja na ushindi ni lazima,vilevile na kuliunga mkono tamuko walilotoa kupitia Shimbo wa Jwtz haihitaji mtu kuwa philosopher kujua kinachoendelea.NEC kwa sis m ni mbwa kwa chatu.ILA TUSIVUNJIKE MOYO NINAAMINI TULIO NJE YA sis m NDO TUTAIKOMBOA NCHI HII. Umoja ni Nguvu ndugu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…