Wahalifu jinsi wanavyoomba kula
Wakuu,
Haya si maneno yangu ni maneno ya kada wa CCM huko Mbeya akiwa anaongea na wananchi kwenye kampeni.
Akiongea kwenye kampeni kada huyu amesema kuwa alipata taarifa kuwa kuna kuna vijana wa vyama pinzani walikuwa wamepanga kuvamia mikutano ya CCM na hivyo iwapo vijana hao watavamia mikutano hiyo basi wachague kufa au kuumia
====================================================
View attachment 3160193
Mvamizi huja kwa shari nadhani atajibiwa kwa shari. Huenda alimaanisha hivyo.Wakuu,
Haya si maneno yangu ni maneno ya kada wa CCM huko Mbeya akiwa anaongea na wananchi kwenye kampeni.
Akiongea kwenye kampeni kada huyu amesema kuwa alipata taarifa kuwa kuna kuna vijana wa vyama pinzani walikuwa wamepanga kuvamia mikutano ya CCM na hivyo iwapo vijana hao watavamia mikutano hiyo basi wachague kufa au kuumia
====================================================
KabisaBora tubaki na chama kimoja tu kisha tumruhusu mkoloni mweupe aje kututawala.
Hizi roho wanazo kweli.Wakuu,
Haya si maneno yangu ni maneno ya kada wa CCM huko Mbeya akiwa anaongea na wananchi kwenye kampeni.
Akiongea kwenye kampeni kada huyu amesema kuwa alipata taarifa kuwa kuna kuna vijana wa vyama pinzani walikuwa wamepanga kuvamia mikutano ya CCM na hivyo iwapo vijana hao watavamia mikutano hiyo basi wachague kufa au kuumia
====================================================
View attachment 3160193
Hapo huoni polisi wakionya, polisi ni tatizo kubwa nchi hii kwenye democracyWakuu,
Haya si maneno yangu ni maneno ya kada wa CCM huko Mbeya akiwa anaongea na wananchi kwenye kampeni.
Akiongea kwenye kampeni kada huyu amesema kuwa alipata taarifa kuwa kuna kuna vijana wa vyama pinzani walikuwa wamepanga kuvamia mikutano ya CCM na hivyo iwapo vijana hao watavamia mikutano hiyo basi wachague kufa au kuumia
====================================================
View attachment 3160193