Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari ndio hio!
View: https://youtu.be/50jLdDcptGc
Mwingine huyu(Kijana Mzalendo) ndio kabisa kawavua nguo na anasema wanatakiwa warudie na kwamba kuna fukuto kubwa.
Kaongea mengi sana huyu bwana ikiwemo kutafuta wadhamini bara na visiwani jambo ambalo halikufanyika.
Mimi mwenyewe sio mwanasheria ila najiuliza, hata kama Mkutano Mkuu ndio kikao cha juu cha kufanya maamuzi; je, hakikupaswa kwanza kutengua kanuni ndio waendelee na azimio la kumptisha Samia?
Maswali ni mengi sana!!
View: https://youtu.be/9Vdp5kcgCt4
View: https://youtu.be/50jLdDcptGc
Mwingine huyu(Kijana Mzalendo) ndio kabisa kawavua nguo na anasema wanatakiwa warudie na kwamba kuna fukuto kubwa.
Kaongea mengi sana huyu bwana ikiwemo kutafuta wadhamini bara na visiwani jambo ambalo halikufanyika.
Mimi mwenyewe sio mwanasheria ila najiuliza, hata kama Mkutano Mkuu ndio kikao cha juu cha kufanya maamuzi; je, hakikupaswa kwanza kutengua kanuni ndio waendelee na azimio la kumptisha Samia?
Maswali ni mengi sana!!
View: https://youtu.be/9Vdp5kcgCt4