Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli kama hujui bora usijibu.365k
Na muda huo huo wahasibu wako mtaani hawana kazi.Hii IPO sana, kuna baadhi ya wilaya zinachukua walimu wa hesabu kuwa wahasibu
kumbe ni laki 5 ? kwahyo ni kama TGS C ?Sio kweli kama hujui bora usijibu.
Diploma gross ni laki 5.4
Ndio ilivyokumbe ni laki 5 ? kwahyo ni kama TGS C ?
TGTS D ndio ile 716k ndio hvyo mkuu??Ndio ilivyo
Cheti TGTS B
Diploma TGTS C
Degree TGTS D
Masters haina scale
Master Haina skeli kwahyo wanalpwajNdio ilivyo
Cheti TGTS B
Diploma TGTS C
Degree TGTS D
Masters haina scale
Serikali haiajiri walimu wenye masters. Masters ni added advantage tu. Scale inayotumika ni degree TGTS D hata ukiwa na PH D.Master Haina skeli kwahyo wanalpwaj
TGTS D ndio ela ngap hyoSerikali haiajiri walimu wenye masters. Masters ni added advantage tu. Scale inayotumika ni degree TGTS D hata ukiwa na PH D.
Umesoma sababu waliyosema lakini?Wana Jf. Kuna ajira hapa kweli? Au waliotuma hawana sifa? Au hawajafikia hao 13,000 wanaowataka?View attachment 1573267
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kiki tu!Umesoma sababu waliyosema lakini?
Huenda inasogezwa muda wa uchaguzi upite watu warudi kwenye viti halafu usomaji wa namba uendelee.
Hizi ajira zimetangwazwa very technical watakao kosa hapa ihesabiwe 5 years more.
Ni mawazo yangu tu yaheshimiwe.
Mrejesho wa nini ofsa, ndo ivyo tena watu wameulaBado siku chache kutimiza mwaka kwa waliopata hizi ajira tunaomba mrejesho tafadhali
Wameula wapi mjomba, kwa check number hapo sawa Ila kuhusu Mambo ya mpunga ni chenga Sana.Mrejesho wa nini ofsa, ndo ivyo tena watu wameula
Hii nchi ni ya kipumbavu Sana , yaani kati ya Kada zilizosahaulika na zinazodharaulika hii nchi ni uhandisi , Mzee yaani naumia Sana kuona nashindwa kupractice fani yangu sababu ya ukosefu WA ajira ,aisee inaumziza Sana , ni Bora waache kabisa kutoa mikopo na hizi kozi vyuo visitishe udahili mpya , Huu uduwanzi kabisa .Lengo Magufuli hapa itakuwa namna gani atarudisha mkopo amesomesha vijana halafu hawarudishi kwa kisingizio cha kukosa ajira kaamua wahandisi wakale vumbi la chaki awakabe kisawasawa.
Mshahara hapa ni 716,000 take home itachezea 540,000 lakini fursa naiona kwa wahandisi wa ujenzi maana halimashauri nyingi hazina wahandisi so wakurugenzi wanaweza kuwatumia wahandisi.
TAMISEMI ni wizara kubwa ina taasisi kibao mfano TARURA, IDARA ZA UJENZI, DMDP nk kwahiyo unaweza omba kama ticha ukifika kwa mkurugenzi tengeneza connection akubakize.
Ukienda kushangaa huko utaishia kuchomekea mashati ya kung'aa na suruari za vitamba na kulima kilimo cha mbogamboga, kuandaa andalio la somo mpaka ukome.
Hii ndiyo Tanzania anayoitaka Mkuu wa Nchi. ERB wapo tu kazi kutumbua ada zetu na Hamna wanachokifanya wameshindwa kusimamia weledi wanaangalia pesa tu wamekomaa kuchangisha michango wajenge jengo sijui la maonesho gani.
Wanatakiwa wajitathimini hawa kazi kukuza vitambi tu na wanapeana ajira tu kwenye board yao hutwahi kusikia wametangaza kazi pale ni kujuana.
Injinia gani wewe?H
Hii nchi ni ya kipumbavu Sana , yaani kati ya Kada zilizosahaulika na zinazodharaulika hii nchi ni uhandisi , Mzee yaani naumia Sana kuona nashindwa kupractice fani yangu sababu ya ukosefu WA ajira ,aisee inaumziza Sana , ni Bora waache kabisa kutoa mikopo na hizi kozi vyuo visitishe udahili mpya , Huu uduwanzi kabisa .
Hii nchi haiji kuendelea Kwa ufala kama huu