Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

Huenda inasogezwa muda wa uchaguzi upite watu warudi kwenye viti halafu usomaji wa namba uendelee.


Hizi ajira zimetangwazwa very technical watakao kosa hapa ihesabiwe 5 years more.

Ni mawazo yangu tu yaheshimiwe.
 
Huenda inasogezwa muda wa uchaguzi upite watu warudi kwenye viti halafu usomaji wa namba uendelee.


Hizi ajira zimetangwazwa very technical watakao kosa hapa ihesabiwe 5 years more.

Ni mawazo yangu tu yaheshimiwe.

Wanaweza fanya izo Mambo siasa n mbaya sasa.
 
H Hii nchi ni ya kipumbavu Sana , yaani kati ya Kada zilizosahaulika na zinazodharaulika hii nchi ni uhandisi , Mzee yaani naumia Sana kuona nashindwa kupractice fani yangu sababu ya ukosefu WA ajira ,aisee inaumziza Sana , ni Bora waache kabisa kutoa mikopo na hizi kozi vyuo visitishe udahili mpya , Huu uduwanzi kabisa .
Hii nchi haiji kuendelea Kwa ufala kama huu
 
Injinia gani wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…