Kada ya Udereva ni fani ya maana sana ofisi za Serikali

Kada ya Udereva ni fani ya maana sana ofisi za Serikali

Madereva wa serekali wanaoogzoa kwa kula hela za mafuta derev akipewa kibali akajaza mafuta sheli hawek yote ltr 20 kwenda mbele mtu hakosi wanapiga san hela
 
Gari za umma raha sana, harafu ukute mpya, kuna kipindi nilienda halmashauri moja hivi ,nilikuta madereva wanajiachia sana, gari zilikuwa za kutosha, wilaya ilikuwa kubwa kabla ya kugawanywa na kuwa mkoa kamili.
Vijina walikuwa wakijenga na kufanya matanuzi vzuri tu
 
Pamoja na kwamba wengi hufikiria dereva anadharaulika katika utumishi na kuchukuliwa Kama kibarua fulani lakini linapokuja suala la upataji wa posho madereva wako vizuri huenda kuliko watumishi wengine katika maofisi kwa sababu kila safari ya kazi ya kutoka nje ya kituo cha kazi lazima dereva ahusishwe.

Nazungumzia haswa zile ofisi ndogo za mikoa acha zile HQ za zone ambazo unakuta madereva wako watano au wanne ila hizi ofisi ndogo zilizo chini ya wizara yaani Serikali kuu unakuta gari moja na dereva mmoja na ndio hiyohiyo anayotumia boss na watumishi katika kazi hivyo dereva ana nafasi ya kutoka kila safari.

Hata ikitokea boss au mkuu wa kitengo kajiandikia dokezo peke yake kawatema wafanyakazi bado ni lazima dereva huyohuyo ndio ahusishwe na zikitokea activities za wafanyakazi bado tena anaula dereva huyohuyo.

Kingine majukumu yake mengi hayana lawama yaani means kwamba haulizwi kuhusu report za kazi na hata Kama ikitokea mmeharibu kazi yeye hausiki kazi yake ni kuwafikisha site Basi.

Hivyo ni wazi kwamba dereva ni fani nzuri tofauti na watu wanavyochukulia.
Swala la monthly report sijui huko serikalini,lakini huku tulipo kwenye NGO's tuna report ngumu sana maana wanatuchunguza kupita kiasi kwenye swala la fuel na garage maintenance, ni lazima kufanya monthly report iliyoenda shule mbaya kabisa, ila kwenye safari na perdiem nakuunga mkono...hua tunasema pandisha huo mkaa bila kuuliza bei,weka mchele kilo 50,yaani hakuna mke wa dereva wa DFP mwenye mawazo ya atakula nini kesho
 
Pamoja na kwamba wengi hufikiria dereva anadharaulika katika utumishi na kuchukuliwa Kama kibarua fulani lakini linapokuja suala la upataji wa posho madereva wako vizuri huenda kuliko watumishi wengine katika maofisi kwa sababu kila safari ya kazi ya kutoka nje ya kituo cha kazi lazima dereva ahusishwe.

Nazungumzia haswa zile ofisi ndogo za mikoa acha zile HQ za zone ambazo unakuta madereva wako watano au wanne ila hizi ofisi ndogo zilizo chini ya wizara yaani Serikali kuu unakuta gari moja na dereva mmoja na ndio hiyohiyo anayotumia boss na watumishi katika kazi hivyo dereva ana nafasi ya kutoka kila safari.

Hata ikitokea boss au mkuu wa kitengo kajiandikia dokezo peke yake kawatema wafanyakazi bado ni lazima dereva huyohuyo ndio ahusishwe na zikitokea activities za wafanyakazi bado tena anaula dereva huyohuyo.

Kingine majukumu yake mengi hayana lawama yaani means kwamba haulizwi kuhusu report za kazi na hata Kama ikitokea mmeharibu kazi yeye hausiki kazi yake ni kuwafikisha site Basi.

Hivyo ni wazi kwamba dereva ni fani nzuri tofauti na watu wanavyochukulia.
Inatrgemea SUA hapo madereva kibao wanaendesha matrekta...
 
Hili lina ukweli sana... hasa hasa ikitokea ofisi inahusika na projects, madereva wanapiga hela sana. Kuna miradi naijua, sio ajabu kukuta dereva yuko nje ya ofisi kwa miezi hata mitatu!

Hata kwenda likizo hawataki 😂 😂 😂
 
Nilisikia kua dereva wa serikali kila akitembea umbali wa 100Km anakula per diem ya 100k.
 
Fikra za aina hii kumbe bado zipo Tanzania😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom