KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
mtagalagala sana leo humu !
mzee mzima anaumbuka, yaani analipwa na mafisadi? inatisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtagalagala sana leo humu !
Huyu hana uchungu na nchi yetu inaonekana anapoteza muda kuabudu mafisadi tu.
mzee mzima anaumbuka, yaani analipwa na mafisadi? inatisha
I luuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuv JF.
Watu wana data hadi inatisha. Mafisadi kina Kadampinzani na wenzake walidhani haya yote ni siri. Mimi ningewashauri tu wabaki na radio Tanzania na TVT kwa propaganda kwani hapa JF ufisadi haupiti.
Yalishamshida sasa amekosa cha kuandika.
kwi kwi kwi kwi kwi.... ngoja ncheke mie!
![]()
huyu ndiye kinanda leo humu !
Ngoja aendelee kujifunza inawezekana akarudia darasa la kwanza yaani na uzee wote unaabudu mafisadi. Mungu apishe mbali.
sasa kada nakuonea huruma sana naona usome vizuri signature ya mkuu MMKJJ
Subiri uone atakavyoanza kubandika picha za ajabu ajabu hapa na kutoa vimisemo vya ajabu kama kawaida yake kila mara akiishiwa hoja.
kama mnafikiri kada ataondoka humu leo, basi mmenoa ! kama mpo tayari kaeni kabisa kwenye vistuli maana mwenzenu nishafunga mkanda kwa ajili ya safari ! na asikimbie tu mtu leo humu !
mtajigonga kwenye ukuta, mtajigonga tena hadi mjue ninachoongelea humu leo !
kama mnafikiri kada ataondoka humu leo, basi mmenoa ! kama mpo tayari kaeni kabisa kwenye vistuli maana mwenzenu nishafunga mkanda kwa ajili ya safari ! na asikimbie tu mtu leo humu !
mtajigonga kwenye ukuta, mtajigonga tena hadi mjue ninachoongelea humu leo !
soma maneno yako hayo highlighted na hii picha chini ! hahaaaaa, i know, right !
![]()
Nilijua maana kuna jamaa alisema unalipwa kwa post sasa nafikiri leo utapata overtime
Nilichosema tayari kimetokea...
hoja zimeisha.. vimeanza viroja.....
Kuna mtu yuko obsessed na Mbowe kupita kiasi. Kuna mtu aliwahi kusema hapa JF kuwa Kada amejaza picha za mbowe kwenye chumba chake na kila sehemu.
Ukweli ni kuwa Kada anamuabudu Mbowe.
Haipiti siku kabla hajamsema au kumtaja jina lake.