Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
SOMENI IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY IBARA INAWEKA WAZI SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS OPERATIONS.
Haya ndio madhara ya mahakama ya kadhi yawapatayo raia wa somalia katika majimbo yanayoshikiliwa na magaidi wa Al-shabaab
we don need this kind of court in our country Tanzania
JAMENI WATANZANIA ILI TUELEWANE SOMENI IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
Ukisha maliza kutapika Sabuni ya Omo uliyo meza, nionyeshe wapi ilipo Injil aliyo teremsha Allah.
Wewe hujui kwanini kuna forth gospel and who were the recipient. Wewe unaangali Alimasi upande mmoja halafu unasema ipo sawa au lah. Hakika nyie ni vipofu wenye chongo kwenye nyoyo zenu.
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
HII YOTE NI KUTAMBIANA UKRISTO NA UISLAM UPI ZAIDI BHANA ACHENI KUBISHANA TANZANIA NI MOJA SOMENI IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
AFU MASUALA YA IMANI NI YA MTU MMOJA, KAMA ILIVYO HUKUMU SIKU YA MWISHO NI YA MTU MMOJA MMOJA, KAMA UNAONA IMANI YAKO INAKUSAIDIA KATIKA MAISHA YAKO ENDELEA NAYO KAMWE USIDHARAU YA MWENZIO HUO NI UTOTO NA TUKIENDELEA HIVI HATUTAFIKA BADALA KUMTUMIKIA MUNGU TUTAANZA KUMTUMIKIA SHETANI.
Enough plzz usikashifu dini ya wenzio.
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
NASIMAMIA UKWELI MTUPU IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
Hivi kuna siri yeyote ile kuwa Shetani yupo chini ya miguu yetu? Mimi kumwambie anaye abudu Shetani kuwa yeye si mali kitu ni kumtambia au kumweleza ukweli?Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
HII YOTE NI KUTAMBIANA UKRISTO NA UISLAM UPI ZAIDI BHANA ACHENI KUBISHANA TANZANIA NI MOJA SOMENI IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS.
AFU MASUALA YA IMANI NI YA MTU MMOJA, KAMA ILIVYO HUKUMU SIKU YA MWISHO NI YA MTU MMOJA MMOJA, KAMA UNAONA IMANI YAKO INAKUSAIDIA KATIKA MAISHA YAKO ENDELEA NAYO KAMWE USIDHARAU YA MWENZIO HUO NI UTOTO NA TUKIENDELEA HIVI HATUTAFIKA BADALA KUMTUMIKIA MUNGU TUTAANZA KUMTUMIKIA SHETANI.
we are too many ! including Jesus !
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
SOMENI IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS, HAMIA SOMALIA.
Hivi kuna siri yeyote ile kuwa Shetani yupo chini ya miguu yetu? Mimi kumwambie anaye abudu Shetani kuwa yeye si mali kitu ni kumtambia au kumweleza ukweli?
Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
SOMENI MIMI NASIMAMAM NA IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS HAYO MENGINE HAYA IHUSU.
shida ya baadhi ya watu wanaendekeza sana mabishano yasiyo na maana hawajui tuko hapa kuelimishana, matokeo yake watafika mahala wanaanza matuc, kama katiba inyaopendekezwa haijataja mambo ya mahakamamya kadhi kwanini watu waendelee kuidai na mkuu wannchi alishaweka bayana hivi majuzi kuhusu suala hilo? Watanzani wenzangu tuamke tuisome, tuilewe na mwisho wa siku tupige kura ya ndiyo kwa katiba hii.Na wapemba wamepewa nini huko dodoma ? Wameshindwa hata kuitetea nchi yao? Bora wangetetea mahakama ya kadhi angalau wapate cha kujivunia[/QUOTE
SOMENI MIMI NASIMAMAM NA IBARA YA 41 KWENYE KATIBA PENDEKEZWA UHURU WA IMANI YA DINI, CLEARLY INAWEKA SERIKALI HAS NO PART TO RELIGIOUS INSTITUTIONS HAYO MENGINE HAYA IHUSU.
Hili la mahakama ya kadhi tuachieni wenyewe waislamu,mbona mnaongea sana,wakati ukifika kama tunahitaji ni vzr tukajipanga tukiona kuna sababu hatuhitaji msaada wa serikali kuanzisha,tunao uwezoThe current debate is about whether or not these Kadhi courts should be entrenched in the new constitution of Tanzania.Confrontations rivalry on the mainland (Tanganyika) between the Muslims minority who are 35% and the Christians majority who are more than 55% have flared up frequently in the past few years. These exasperating tensions are too complex to be labeled as a fundamental antagonism based on religion. Neither Muslims nor Christians (in Tanganyika and Zanzibar) form a homogeneous block.The endless debate in the "Bunge Maalum", which has focused itself on the (Mahakama ya Kadhi) kadhis courts and the constitutional review, has allowed extreme elements from both sides to speak out with great vehemence potency and so increased tensions between the two communities. It has crystallized the perceived hurts and prejudices that have lain under the surface of a thin veneer of mutual tolerance. Aspects of the entire situation must be examined for the influence of political elements who use religion for their own ethnic reasons.So we stay with the whole phrase rule of law with each one appreciating it according to her needs or as the occasion demands.Cant Tanzanian Muslims rule themselves by themselves without being in the constitution? What is the big deal, a religious court being entrenched in the constitution that rules over different religions? What is the hidden agenda? I argue Tanzanians to learn from Nigeria, Pakistan and other nations with Kadhis courts and Islamic Sharia "Law" ..understand the meaning of Kafiris as described by Muslims and what sharia law advocates to the same.Readers should remember that the fellows who are drafting the constitution are purely lawyers by profession, and going by their egos and personality they are fellows who can easily convince and confuse your reasoning without much ado. They can easily prove a day is a night. Entrenching the kadhis court in the constitution is purely improper, unmeritorious, unconstitutional and against human rights.Therefore the needs of both the Christians, Hindus, Muslims and any other religion was catered for.There are unforeseen consequences which are not apparent as per now but of which the coe (lawyers) are aware of. Who is a Muslim anyway? Where does she/he live? Whom does she/he live with? How does coexisting with Muslims affect your lifestyle and culture? Will inclusion of kadhi's court in the constitution change all these? The answer is yours.Christians in Tanzania are arguing that including the Kadhi Courts in the constitution is (apart from favoring one religion) setting the stage for the introduction of Sharia law and simultaneously joining Organization of Islamic Conference OIC.Do you think Kadhis courts should be part of the new Constitution? Shouldn't the constitution protect the interest of the majority as well as minority?By including Kadhis court in our nation constitution, it is a favor to one religion. It would mean that if need be, we could also include, e.g. Artificial contraceptive clause to favor the Catholic Church in the constitution. Otherwise, anything to do with religion and faith must be left to the concerned believers.Source: Do you think Kadhis courts should be part of the new Tanzanian Constitution?
Kadhi koti haina nafasi kwa sasa hapa ,tuache ushabiki katika swala hiliThe current debate is about whether or not these "Kadhi" courts should be entrenched in the new constitution of Tanzania.Confrontations rivalry on the mainland (Tanganyika) between the Muslims "minority" who are 35% and the Christians "majority" who are more than 55% have flared up frequently in the past few years. These exasperating tensions are too complex to be labeled as a fundamental antagonism based on religion. Neither Muslims nor Christians (in Tanganyika and Zanzibar) form a homogeneous block.The endless debate in the "Bunge Maalum", which has focused itself on the (Mahakama ya Kadhi) kadhi's courts and the constitutional review, has allowed extreme elements from both sides to speak out with great vehemence potency and so increased tensions between the two communities. It has crystallized the perceived hurts and prejudices that have lain under the surface of a thin veneer of mutual tolerance. Aspects of the entire situation must be examined for the influence of political elements who use religion for their own ethnic reasons.So we stay with the whole phrase – rule of law – with each one appreciating it according to her needs or as the occasion demands.Can't Tanzanian Muslims rule themselves by themselves without being in the constitution? What is the big deal, a religious court being entrenched in the constitution that rules over different religions? What is the hidden agenda? I argue Tanzanians to learn from Nigeria, Pakistan and other nations with Kadhis courts and Islamic Sharia "Law"……..understand the meaning of Kafiris as described by Muslims and what sharia law advocates to the same.Readers should remember that the fellows who are drafting the constitution are purely lawyers by profession, and going by their egos and personality they are fellows who can easily convince and confuse your reasoning without much ado. They can easily prove a day is a night. Entrenching the kadhis court in the constitution is purely improper, unmeritorious, unconstitutional and against human rights.Therefore the needs of both the Christians, Hindus, Muslims and any other religion was catered for.There are unforeseen consequences which are not apparent as per now but of which the coe (lawyers) are aware of. Who is a Muslim anyway? Where does she/he live? Whom does she/he live with? How does coexisting with Muslims affect your lifestyle and culture? Will inclusion of kadhi's court in the constitution change all these? The answer is yours.Christians in Tanzania are arguing that including the Kadhi Courts in the constitution is (apart from favoring one religion) setting the stage for the introduction of Sharia law and simultaneously joining Organization of Islamic Conference "OIC".Do you think Kadhi's courts should be part of the new Constitution? Shouldn't the constitution protect the interest of the majority as well as minority?By including Kadhis court in our nation constitution, it is a favor to one religion. It would mean that if need be, we could also include, e.g. Artificial contraceptive clause to favor the Catholic Church in the constitution. Otherwise, anything to do with religion and faith must be left to the concerned believers.Source: Do you think Kadhi's courts should be part of the new Tanzanian Constitution?
Granta si bure umerogwa. Katiba ya Chenge umeipata wapi!!! Msiwe mnavamia mijadala wakati hamjui lolote. Wewe ni sawa na wale wanaosema Mahaka ya Kadhi imo kwenye Katiba Inayopendekezwa.Huu ni uhuni na uongo usiokubalika. Tulia na usome Katiba Inayopendekezwa ili ujitambue na ukiwa si mbinafsi uwaelimishe na wenzako pia.Katiba ya chenge nani aipitishe...? Mara hii kila kitu kimekwama
Nini kimekwama kama si wewe na mawazo yako mgando.Wewe ndo umekwama tena kwenye tope la maji taka. Unahitji tingatinga likukwamue ili uweze kusoma katiba na kuielewa. Upo hapo.Granta si bure umerogwa. Katiba ya Chenge umeipata wapi!!! Msiwe mnvamia mijadala wakati hamjui lolote. Wewe ni sawa na wale wanaosema Mahaka ya Kadhi imo kwenye Katiba Inayopendekezwa.Huu ni uhuni na uongo usiokubalika. Tulia na usome Katiba Inayopendekezwa ili ujitambue na ukiwa si mbinafsi uwaelimishe na wenzako pia.
Kwann mnajifanya mbelembele sana kuipinga mahakama ya kadhi
Nini kimekwama kama si wewe na mawazo yako mgando.Wewe ndo umekwama tena kwenye tope la maji taka. Unahitji tingatinga likukwamue ili uweze kusoma katiba na kuielewa. Upo hapo.
Naona umeshindwa kuitetea dini yako na kitengo chenu bandia ambacho hakipo kwenye maamrisho ya allah wenu. Huu ni msiba.