Kadhi courts has no place in the constitution


Mkuu unatisha sana
 

Mkuu, hata suala la wakristo kupinga kipengele cha dini ni la kisayansi...? Ninavyojua sayansi kwa upeo wangu ni lazima experiment, mbona mlikataa hicho kipengele...! Sasa mmebaki kubuni tu..sayansi gani hiyo la kilaghai namna hii...?


Waliokataa sio wakristo ni serikali ya CCM ambayo inaongozwa na waislam Zanzibar na Bara.

Kusema kwamba wakristo ndio waliokataa kuweka kipengele cha dini ni propoganda za ajabu kabisa.
Hata hivyo wakristo huwa tangu enzi na enzi wamekua na utaratibu wa kuweka kumbukumbu za idadi ya waumini wao tena kwa majina.

Kwa haraka haraka ukiwauliza viongozi wa makanisa watakuambia idadi ya umini wao hata usiku wa manane.
Hiyo ndio maana ya kufanya mambo kisayansi.
Na huo utaratibu haukuwekwa kwa lengo la kisiasa au kushindana na waislam bali kwa ajili ya kutengeneza bajeti na malengo ya kila mwaka kwenye kanisa husika.

Nawashauri tu wale waislam wasomi wafanye tafiti za kweli na waachane na propoganda za kufikirika.
Pia wasome historia vizuri watajua hizi propoganda zamani zilikuwa zinafanywa na watu wa aina gani, na ulikua ni utamaduni wa watu gani na ulifanywa kwa lengo gani.
 
Adolf Hitler (1889 – 1945) was an Austrian-born German politician and the leader of the National Socialist German Workers Party, commonly known as the Nazi Party.
(Quotations on Islam from Notable Non-Muslims - WikiIslam)
You see, it's been our misfortune to have the wrong religion. Why didn't we have the religion of the Japanese, who regard sacrifice for the Fatherland as the highest good? The Mohammedan religion [Islam] too would have been more compatible to us than Christianity. Why did it have to be Christianity with its meekness and flabbiness

I can imagine people being enthusiastic about the paradise of Mohammed, but as for the insipid paradise of the Christians! In your lifetime, you used to hear the music of Richard Wagner. After your death, it will be nothing but hallelujahs, the waving of palms, children of an age for the feeding bottle, and hoary old men. The man of the isles pays homage to the forces of nature. But Christianity is an invention of sick brains: one could imagine nothing more senseless, nor any more indecent way of turning the idea of the Godhead into a mockery. A n***** with his taboos is crushingly superior to the human being who seriously believes in transubstantiation

Had Charles Martel not been victorious at Poitiers -already, you see, the world had already fallen into the hands of the Jews, so gutless a thing Christianity! -then we should in all probability have been converted to Mohammedanism [Islam], that cult which glorifies the heroism and which opens up the seventh Heaven to the bold warrior alone. Then the Germanic races would have conquered the world. Christianity alone prevented them from doing so.

The best thing is to let Christianity die a natural death. A slow death has something comforting about it. The dogma of Christianity gets worn away before the advances of science... The instructions of a hygienic nature that most religions gave, contributed to the foundation of organized communities. The precepts ordering people to wash, to avoid certain drinks, to fast at appointed dates, to take exercise, to rise with the sun, to climb to the top of the minaret - all these were obligations invented by intelligent people. The exhortation to fight courageously is also self-explanatory. Observe, by the way, that, as a corollary, the Moslem was promised a paradise peopled with sensual girls, where wine flowed in streams - a real earthly paradise. The Christians, on the other hand, declare themselves satisfied if after their death they are allowed to sing hallelujahs! ...Christianity, of course, has reached the peak of absurdity in this respect. And that's why one day its structure will collapse. Science has already impregnated humanity. Consequently, the more Christianity clings to its dogmas, the quicker it will decline

Soma zaidi:
The Muslim Nazi Connection | The Muslim Issue



Hitler na Muslim brotherhood.



The Religious views of Adolf Hitler were shaped by his upbringing at the hands of his anti-clerical, sceptic father and devout Catholicmother. Baptized as an infant and confirmed at the age of fifteen, he ceased attending Mass and participating in the sacraments in later life.[SUP][1][/SUP] In adulthood, he became disdainful of Christianity but in power was prepared to delay clashes with the churches out of political considerations. Hitler's architect Albert Speer believed he had "no real attachment" to Catholicism.
kahtaan
soma hapa kwanza: Loading......

CC kahtaan
 
Last edited by a moderator:


kama hitler asingeuwa wayahudi wengi basi Uislamu umepanga kuwaangamiza.


The Nazi Origins of Modern Muslim Terror - YouTube

Albert Speer wrote in his diary that Hitler regretted that Islam had not conquered Germany, as it was much more compatible with Nazism. "It's been our misfortune to have the wrong religion," he told Speer. "Why did it have to be Christianity with its meekness and flabbiness?" [A quote from Albert Speer, Inside the Third Reich, chapter 6]

Himmler told Felix Kersten, his personal masseur and confidant, that Islam with its concept of Jihad and promises of beautiful women and instant rewards in the afterlife if you fall in battle was a wise religion, well-suited as a male warrior creed. [Source: Felix Kersten's memoirs,
Totenkopf und Treue, page 203.] The SS leadership for the same reason considered Islam to be a practical religion for soldiers.



Support for Nazism was not limited to the former Mufti. Here are some quotes from Arab leaders on Hitler, and Nazism:
"We admired the Nazis. We were immersed in reading Nazi literature and books . . . . We were the first who thought of [an Arab] translation of Mein Kampf. Anyone who lived in Damascus at that time was witness to the Arab inclination toward Nazism," recalled Sami al-Joundi, one of the founders of Syria's ruling Ba'ath Party.
Indeed, a popular WWII song was heard in the Middle East featuring words: Bissama Allah, oria alard Hitler – in heaven Allah, on earth Hitler. Picking up the theme of the book, posters were put up in Arab markets and elsewhere proclaiming, "In heaven Allah is thy ruler; on earth Adolph Hitler."


Haj amin al hussein with german
Grand Mufti, Haj Muhammed Amin al-Husseini – excellent link describing the Grand Mufti's efforts in recruiting Muslims from all over the world to fight with the Nazis


ni juzi marekani walipiga marufuku mavazi yenye swastika ya Hiler. na rangi. Wazungu hawataki kusikia lolote kuhusu mtu huyu mwovu. lakini arabs wanapenda hadi kitabu chake. Ina bidi uwe unachagua maneno with care unapolijadili hili. kahtaan
Swali la kujiuliza ikiwa Muslims wanawachukia wayahudi kutokana na kitabu chao.Hitler aliwachukia wayahudi kwa sababu ya kitabu gani????? Mkuu nina maelezo mengi hapa naona patajaa.

 
well said cc kahtaan, Granta
 
Teh teh teh teh!

Baada ya KUSHAMBULIWA NA WAKATOLIKI unajifanya Kuregebisha Maandiko yako sio??

We ndo mbulumundu kweli kweli.

Endelea kusema kuwa PAPA UPANGA NI ANTI CHRIST uone kama hukusikumiwa Pepo la ngono na Kadinali Pengo

[TABLE="class: ad_slug_table"]
[TR="class: can_ad"]
[TD="align: right"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Shi'ite militia kill dozens of Iraqi Sunnis in mosque shooting


(Reuters) - Iraqi Shi'ite militiamen machine gunned minority Sunni Muslims in a village mosque on Friday, killing dozens just as Baghdad was trying to build a cross-community government to fight Sunni militants whose rise has alarmed Western powers.
A morgue official in Diyala province north of Baghdad said 68 people had been killed in the sectarian attack staged on the Muslim day of prayer. Ambulances took the bodies 60 km (40 miles) to the provincial capital of Baquba, where Iranian-trained Shi'ite militias are powerful and act with impunity.
Attacks on mosques are acutely sensitive and have in the past unleashed a deadly series of revenge killings and counter attacks in Iraq, where violence has returned to the levels of 2006-2007, the peak of a sectarian civil war.



Two influential Sunni politicians, Deputy Prime Minister Saleh al-Mutlaq and Parliament Speaker Salim al-Jibouri, quickly suspended participation in talks with the main Shi'ite political alliance to form a new government.
Lawmaker Nahida al-Dayani, who is from Diyala, said about 150 worshippers were at Imam Wais mosque when the militiamen arrived following a roadside bombing which had targeted a security vehicle. "It is a new massacre," said Dayani, a Sunni originally from the village where the attack happened.
"Sectarian militias entered and opened fire at worshippers. Most mosques have no security," she told Reuters. "Some of the victims were from one family. Some women who rushed to see the fate of their relatives at the mosque were killed."
The bloodbath marks a setback for Prime Minister-designate Haider al-Abadi, from the majority Shi'ite community, who is seeking support from Sunnis and ethnic Kurds to take on the Islamic State insurgency threatening to tear Iraq apart.
An army major who declined to be identified said the gunmen arrived in two pickup trucks after two bombs had gone off at the house of a Shi'ite militia leader, killing three of his men.
A Sunni tribal leader, Salman al-Jibouri, said his community was prepared to respond in kind. "Sunni tribes have been alerted to avenge the killings," he said.
MOSUL STONING
In the northern city of Mosul, Islamic State, which this week released a video showing the beheading of American journalist James Foley, stoned a man to death after one of its self-appointed courts sentenced him for adultery, witnesses said.
The parents of Foley, who was kidnapped while covering the Syrian civil war, called on Friday for support to free other foreigners still held by Islamic State fighters.
"We do pray, we beg the international community to help the remaining hostages," Diane Foley said on MSNBC television. "We just pray that they will be set free," she said after a long conversation with Pope Francis, who the Vatican said called the couple on Thursday afternoon to offer his condolences.
Abadi, Iraq's prime minister-designate, condemned Foley's killing on his Facebook page and said Iraq would lead the fight against Islamic State with the help of Washington and other allies.
"The barbaric murder of journalist James Foley demonstrates to the world the lethal mindset and impending threat of ISIS & why they must be eradicated," he wrote.
The U.N. Security Council also condemned Foley's killing, saying Islamic State militants and their ideology of intolerance must be defeated.
The stoning, which happened on Thursday, was the first known instance of the punishment by Islamic State militants in Iraq since it seized large areas of the country in a June offensive. Having poured in from Syria across a desert border that it does not recognise, the movement has declared its own caliphate.
Similar stonings by the radical Sunni group have been previously reported in Syria, where it split from al Qaeda. Islamic State is the most powerful rebel group fighting President Bashar al-Assad's forces in a civil war which the United Nations said has claimed almost 200,000 lives at the very least.
U.S. President Barack Obama's decision to authorise air strikes in Iraq for the first time since American troops pulled out in 2011 has helped to slow the militants' offensive.
However, America's top soldier acknowledged that the internationally recognised frontier between Iraq and Syria, over which the militants have free passage, no longer meant much in the wider conflict.
General Martin Dempsey, chairman of the Joint Chiefs of Staff, suggested Islamic State would remain a danger until it could no longer count on safe havens in Syria.
The White House said on Friday the United States stood ready to take further action against Islamic State fighters and reiterated that it would not be restricted by the Iraq-Syria border. Deputy national security adviser Ben Rhodes said the group is more dangerous today than it was six months ago.
Obama came close to ordering air strikes on Syria last year, but they would have been against Assad's forces which are fighting Islamic State in the complex war involving a range of factions battling each other.
SYRIAN DEATH TOLL DOUBLES
At least 191,369 people have been killed in the Syrian conflict up to April, more than double the figure documented a year ago and probably still an underestimate, the United Nations human rights office said on Friday.
Obama had intended to punish Assad for using chemical weapons in the civil war - charges Damascus denied - but the air strikes were cancelled after a Russian-brokered deal under which Syria surrendered its chemical arsenal.
Sources familiar with Syrian government thinking say Assad is wagering that Islamic State's push to reshape the Middle East will eventually force a hostile West to deal with him as the only way to tackle the threat.
Western governments which back the uprising have dismissed the idea of rapprochement. But if the United States were to attack Islamic State in Syria, it would find itself - however reluctantly - fighting a common enemy with Assad.
British Foreign Secretary Philip Hammond said dialogue with Assad would not advance the Western cause. "We may very well find that on some occasions we are fighting the same people as he is but that doesn't make us his ally and ... it wouldn't be practical, sensible or helpful to even think about going down that route," Hammond told BBC Radio.
His Dutch counterpart Frans Timmermans said the fight against Islamic State could be successful only if it was confronted in Syria as well as Iraq.
Iraq also faces hard decisions. The government has promised to release from prison a former defence minister of ousted president Saddam Hussein, a senior Sunni official said.
In an interview with the London-based Asharq al-Awsat newspaper, Deputy Prime Minister Mutlaq did not say why the promises to free Sultan Hashem and other Sunni military and political leaders had been made.
Hashem's release could appease the Sunnis who dominated Iraq until a U.S.-led invasion overthrew Saddam in 2003.
But it would mark a major concession by the government led by Shi'ites and probably upset the Kurdish community. Hashem was sentenced to death for a campaign under Saddam that included gassing Kurds in the town of Halabja in 1988.
The conflict may also mean other old enemies working together, albeit with hard bargains being struck. This includes regional Shi'ite power Iran, which has long been at odds with the United States over its nuclear programme.
Foreign Minister Javad Zarif was quoted on Thursday by the state news agency IRNA as saying Tehran was ready to help tackle Islamic State in Iraq, but first wanted progress in negotiations with world powers over the nuclear programme.
However, perhaps reflecting the sensitivity of the issue, IRNA later reported foreign ministry spokeswoman Marzieh Afkham as dismissing "reports by some news agencies about Iran and U.S. cooperation in Iraq".
France, one of the six nations in nuclear talks with Tehran, said this week it wanted Arab states, Iran and the five permanent members of the U.N. Security Council to coordinate a comprehensive response against Islamic State.
The West fears the programme aims to develop a nuclear weapons capability, while Iran insists it is peaceful.
(Reporting by Raheem Salman and Alexander Dziadosz; Additional reporting by Michael Georgy in Baghdad, Stephanie Nebehay in Geneva, William Maclean and Michelle Moghtader in Dubai, John Irish in Paris, Anthony Deutsch and Thomas Escritt in Amsterdam, Belinda Goldsmith in London, James Mackenzie in Rome and Susan Heavey in Washington; Writing by David Stamp; Editing by Alastair Macdonald, Howard Goller and Eric Beec
 

Mkuu, serikali ni Mimi, wewe na yule, serikali ipo kwa niaba na mamlaka ya wananchi...

Wananchi waislam wametaka mahakama ya kadhi, serikali haitaki kama unavyosema wewe...

Jiulize kitu kidogo tu ikiwa serikali haitaki inamuwakilisha mwananchi yupi...? Inataka kumfurahisha nani ktk COST ya waislam...? Nani yuko ya serikali kuilazimisha ikatae mambo ya kiislam...

Mwaka huu tunataka tujue wanaoipinga mahakama ya kadhi kwa majina yao na kwa Dini zao...

Haiwezekani watu mnajificha kwenye kivuli cha serikali kupitisha dhulma na uonevu kiasi hiki kumbe mnarepresent matakwa yenu ya kigalatia
 
Tunahitaji mawazo yako kuhusu huyo muefeso waltham anaemtukana PAPA Wa Vatican!

Ametoa kashfa ndefu sana hapo juu.
Sasa zipitie uone sifa hizo ZINAMFAA PAPA?

Ok,Kimsingi kila mtu huwa yupo sahihi kwa mujibu wake yeye mwenyewe lakini pale anapotaka na wengine wakubaliane na kile ambacho anakubali yeye hapo ndipo tutadai ushahidi

Huyo jamaa ametoa madai mengi kwenye post yake,lakini sijaona ushahidi wa yale ambayo amedai,kwasababu hiyo madai yake yataendelea kuonekana ni unafiki na umbea tu hadi atakapoleta ushahidi wa madai yake

Na kwasababu hiyo sioni haja ya kuendelea kulumbana nae hadi atakapoleta ushahidi ili kila mtu auone kisha sasa tuanze kuuona na kuukagua!
 

Mkuu,ni kwa kipimo kipi umeona mahakama ya kadhi ni kitu kidogo?

Ni kwa vipi unaona serikali kukataa mahakama ya kadhi ni udhulumaji?
 
Mkuu,ni kwa kipimo kipi umeona mahakama ya kadhi ni kitu kidogo?

Ni kwa vipi unaona serikali kukataa mahakama ya kadhi ni udhulumaji?

Swali lako la kwanza, nakushauri usome tena, sijasema mahakama ya kadhi ni kitu kidogo, nimesema jiulize kitu kidogo(pitisha kawazo kwenye kichwa chako, tumia muda kidogo kufikiria hili, n.k).

Kwann mnalazimisha kusema serikali haitaki, serikali ni watu, tuambieni ni watu wepi wanaokataa hiyo kadhi, wanaoidai tunawajua...imefika wakati tuwajue wanaoipinga sio kusingizia serikali...

Anyway, Kadhi ni haki kwa waislam na anayeizuia kupatikana kwake bila shaka huyo ni DHALIMU(anadhulumu)
 
Nini ambacho unashangaa, kwani TEC si wanataka serikali 3...? Mbona waumini wake waliopo mjengoni wanataka serikali 2...tumia akili sio INYE
Kwani serikali 3 ni suala la kidini?

tofautisha kukataliwa kwa serikali 3 na kukataliwa kwa mahakama ya kadhi.
 
Swali lako la kwanza, nakushauri usome tena, sijasema mahakama ya kadhi ni kitu kidogo, nimesema jiulize kitu kidogo(pitisha kawazo kwenye kichwa chako, tumia muda kidogo kufikiria hili, n.k).
Sawa ....
Kwann mnalazimisha kusema serikali haitaki, serikali ni watu, tuambieni ni watu wepi wanaokataa hiyo kadhi, wanaoidai tunawajua...imefika wakati tuwajue wanaoipinga sio kusingizia serikali...
Wanaolazimisha ni akina nani?

Inamaana hutaki kuwa serikali ni watu?
Hujui ni watu gani wanaounda serikali?

Raisi,baraza la mawaziri,wafanyakazi wa wizara,halmashauri za miji.majiji.vijiji ,n.k hiyo ndio serikali na hao ndio wanaounda serikali

Watu wanaposema serikali ni mimi na wewe wanakuwa wanamaanisha kuwa wewe na mimi ndio tunaoipa serikali mamlaka na sio sisi ndio tunaounda serikali
Anyway, Kadhi ni haki kwa waislam na anayeizuia kupatikana kwake bila shaka huyo ni DHALIMU(anadhulumu)
Kama ni haki yenu kwanini mnataka iwemo kwenye katiba ambayo inawahusu watu wengine ambao hawana dini na wengine ni wenye dini lakini sio hiyo yenu?

Nani mwenye tatizo hapo?

Kwanini msiunde huko kwenye misikiti yenu na mabaraza yenu na iwahusu nyie tu?
 
Hawezi jibu swali hilo mkuu. madrasa hakuna data
How many Christians and other minorities ?and why nobody except Muslims didn't want this included in the census questionnaire?you answer that i will give you a general idea how"minority" muslims are!
 


+24

Iraq: Images of Iraqi men being rounded up at gunpoint, beaten, herded into lorries and shot dead in a ditch in the desert by a row of masked ISIS fanatics sent shockwaves across the world



+24

Afghanistan: Taliban insurgents sliced off the fingers of 11 people as punishment for voting in Afghanistan¿s democratic presidential election while 60 people were killed in a series of rocket barrages and scattered


Read more: al-Shabaab militia went from door to door killing non-Muslims in Mpeketoni | Daily Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 

Kwani Mungu wenu hawezi kuwahukumu bila Mahakama ya Kadhi kutambuliwa na Serikali?
 

Kazi za Mahakama ya Kadhi zinatakiwa zijulikane kwa Waislamu safi na sio Wakristo.Ni sawa na kumuuliza Muislamu akuelezee kuhusu Canon Law za Roman Catholic.
 
Kwa hio nyie wagakatia mnapinga kitu ambacho hata hamkijui sio?

Ndio nikasema kuwa watu wanaotuletea tabu duniani ni wale wenye Elimu ndogo

Hatupaswi kujua IBADA za Kiislamu.Ibada za Kidini zinahusu Dini husika.Nitakuwa Mjinga kama nitataka unitajie mambo ya Waanglikana wakati wewe ni Mwislamu.
 
Sasa km ni hivyo ni kipi kunachosababisha nyie kupinga mahkama ya Kadhi?

Nyie viumbe wa ajabu sana.

Kweli nyie wagumu kuelewa.Narudia tena,Mambo ya Dini yanatakiwa yashughulikiwe na Dini husika.Sisi tunapinga kwa sababu Mungu ni Mkubwa na hafai kuombewa Mahakama Serikalini.
 
Kwani Mungu wenu hawezi kuwahukumu bila Mahakama ya Kadhi kutambuliwa na Serikali?

Mkuu acha utojo kwenye akili yako, Mungu anahukumuje duniani...? Mungu kaleta sheria na hukumu kwa watu WAHUKUMIANE hapa duniani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…