Inauliza how many are we...? Unauliza swali gani hili...! Ask ur dad &mom(INterahamwe+TEC) why they denied kuweka kipengele cha dini ya mtu kwenye dodoso la sensa...
Mambo ya kubuni data as if sisi ni wapiganaji wa msituni nani anataka...
Tunataka data confidential sio kujitajia tu...
Naona siku hizi baba patoko umekuwa na kautulivu flani. Manake ile mipasho umeiacha.
Sasa hebu twende kwa mwendo huo huo tuone km tutafika.
Unapouliza kuwa mahkama ya kadhi SI KITU KIDOGO! Labda nikuulize wewe sasa! JE! UNAFAHAMU KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI? au Unadhani dhani tu bila kujua NINI HASA KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI.?
Naomba Jibu, mipasho umeishaiacha! Sasa usije ianza tena.
acheni ukauzu, katiba ni ya watanzania wote bila kujali imani zao, sasa iweje tuingize mambo ya dini moja?
Huoni kuwa hapo hakuna haki?
Mnataka muanze kukata watu mikono, kupiga watu mawe kama al-shababu (sheria za musa), kuwazuia warembo kuokoka kwa kulindwa na katiba?
Acheni ujanja ujanja; kwani mmekatazwa nini kwa mfumo wa sasa?
Mkuu, serikali ni Mimi, wewe na yule, serikali ipo kwa niaba na mamlaka ya wananchi...
Wananchi waislam wametaka mahakama ya kadhi, serikali haitaki kama unavyosema wewe...
Jiulize kitu kidogo tu ikiwa serikali haitaki inamuwakilisha mwananchi yupi...? Inataka kumfurahisha nani ktk COST ya waislam...? Nani yuko ya serikali kuilazimisha ikatae mambo ya kiislam...
Mwaka huu tunataka tujue wanaoipinga mahakama ya kadhi kwa majina yao na kwa Dini zao...
Haiwezekani watu mnajificha kwenye kivuli cha serikali kupitisha dhulma na uonevu kiasi hiki kumbe mnarepresent matakwa yenu ya kigalatia
Ndugu yangu heshimu Imani za wenzako,Dharau haina mwisho mwema.Wenzako wa ISISL wanaendelea kupokea kipondohuko Syria.Jipange kujenga hoja huenda mkatushawishi tuwape mahakama ya Kadhi.
Kwani Mungu wenu hawezi kuwahukumu bila Mahakama ya Kadhi kutambuliwa na Serikali?
35% ? Compared to what?
Oooops, I didn't know that Jesus has FLOCKS!!! Can you name them and why should Jesus "have" flocks?did you counted Jesus and his flocks !
Mnapinga MAHKAMA YA KADHI bila hata KUJUA hicho mnachopingia.
Kweli elimu ni mali!
You are mixing things. Galatians 3:10 For as many as are of the works of the law are under the curse: for it is written, Cursed is every one that continueth not in all things which are written in the book of the law to do them.Mkuu acha utojo kwenye akili yako, Mungu anahukumuje duniani...? Mungu kaleta sheria na hukumu kwa watu WAHUKUMIANE hapa duniani...
In principle, a state that constitutionally recognizes individual choice in matters of personal law need not make provision for constitutional entrenchment of a court system to guarantee realization of that ideal.Haya sasa
did you counted Jesus and his flocks !
..........Mungu wetu hakuwahi kuja Duniani, sawa na mungu wenu aliyewahi kuja Duniani halafu mkamfanya vibaya ! (sulubiwa !) Farudume
Nchi hii haina dini bali watu wake wana dini. Hivi endapo katiba inaruhusu uhuru wa kuabudu, tatizo ni nini?
Kwa taarifa hata Ukristu ni mfumo kamili wa maisha. Basi kadhi ikiingizwa, basi mahakama za kikristo na jadi ziingie.
ANZISHENI MAMBO YENU KWENYE IMANI ZANU BILA KUVUNJA HAKI ZA BINADAMU NA KATIBA.
It is unconstitutional to have such an institution in the constitution. It is the matter of ethicalities.Kwani mahakama za kikristo zipo??
Sasa kama zipo na nyinyi si mziingize kwenye katiba??
Kupiga ramli za wenzenu zisiingie haisadii.
hivi wewe makalio mimi kodi yangu itumike kuendeshe kitu ambacho hakinihusu..hebu kwanza fikiria siyo unatoa posti za kijingaWewe mgalatia nani anahaja ya kukushawishi llt?
Nendeni mkadhibiti WABAKAJI huko makanisani kwanza kabla ya kuangalia mambo ya WAISLAMU!
Pilipili tule sisi, nyie makalio yawawashe! Hii si miujiza hii?
Hebu nambie, mahkama ya Kadhi inakuathiri vipi wewe MKRISTO?
Basi Roho korosho tu.
Tabia mbaya za namna hii husababisha ujauzito usioupangilia mkuu.
Wacheni kabla hamjaathirika jumla.