Kelela Senior Member Joined Nov 7, 2020 Posts 191 Reaction score 308 May 15, 2021 #1 Habari za leo! Nauliza kama kadi ya mtoto ya kliniki imechanika kiasi kwamba ni vigumu kuiunganisha, je unaweza ukapata kadi nyingine ili ujaze tena taarifa zake? Na kama inawezekana kupata nyingine, ni hatua zipi za kufuata ili kuipata? Ahsanteni.
Habari za leo! Nauliza kama kadi ya mtoto ya kliniki imechanika kiasi kwamba ni vigumu kuiunganisha, je unaweza ukapata kadi nyingine ili ujaze tena taarifa zake? Na kama inawezekana kupata nyingine, ni hatua zipi za kufuata ili kuipata? Ahsanteni.
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,918 Reaction score 13,885 May 15, 2021 #2 Nenda kituo cha afya ulipokuwa unaudhulia kliniki umwoneshe nesi hiyo kodi atakusaidia
Diazepam JF-Expert Member Joined Dec 3, 2020 Posts 1,263 Reaction score 3,523 May 15, 2021 #3 Inawezekana mkuu inategemea na nurse uliyemkuta na kujieleza kwako.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 May 15, 2021 #4 Hela yako TU