Kadi ya mwaliko ya TEC kwenda kushuhudia mikataba mitatu ya bandari ni ishara kwamba hakuna uchaguzi 2025 wala katiba ya wananchi 2026

Kadi ya mwaliko ya TEC kwenda kushuhudia mikataba mitatu ya bandari ni ishara kwamba hakuna uchaguzi 2025 wala katiba ya wananchi 2026

Taasisi kubwa kama TEC kama inaweza kualikwa bila ya kuhoji ni mualiko wa nini wala kupitia vyanzo vyake wasijue wanakwenda kwny mualiko wa nini na bado wakaenda basi kuna tatizo kubwa kuliko la bandari


TEC watuambie, katika zile amri 10 za Mungu ya kusema uongo imekuwa edited?
 
Kadi ya mwaliko tu inaulaghai tena kwa viongozi wa taasisi za dini. Kwamba kadi imeandikwa bila kueleza washiriki wanakwenda kusikia nini.

Kama kadi pekee inaweza ikawa na ulaghai uchaguzi utakuwa na nini? Kama kadi ina ukakasi, je dhamira ya waandishi wa kadi kwenye katiba mpya mnaona? Tukubali hakuna uchaguzi wala katiba.

Tutaendelea kuishi kwa dana dana kwa sababu wanaopaswa kutenda haki wanafaidika na mfumo usio wa haki. Kwanini watafute mfumo wa haki wasiojua kama itawaacha wakineemeka?
Tec Mungu anawaona ,
 
Siwezi kufa twice mm!! Nilishakufa nikafufuka.

Malawi alipokufa wa Kiume, Makamo aliyerithi Mikoba alikuwa wa kike kama kwetu,

Na ulipofanyika uchaguzi, waliiba kama jadi Yao bt kitu ilienda Kwa upinzani!!

So CCM Ina machaguo mawili,

1. Agombee kitu iende upinzani,

2. Asigombee, aje mgombea mwingine tubadili Katiba tupate tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya.

Sababu CCM ni chama kikubwa,

Bado HATOGOMBEA!!
Samia Suluhu Hassan ni Heavy Weight kama Jakaya kwmy Siasa

tuliwaambia hivyo wakati wa JK mkatoa kebehi sana na mkaja kujua umwamba wake wa kisiasa miaka ya baada ya Urais

hata Samia mtamjua kama ni mwmba baada ya 2030
 
Samia Suluhu Hassan ni Heavy Weight kama Jakaya kwmy Siasa

tuliwaambia hivyo wakati wa JK mkatoa kebehi sana na mkaja kujua umwamba wake wa kisiasa miaka ya baada ya Urais

hata Samia mtamjua kama ni mwmba baada ya 2030
HATOGOMBEA.
 
Hio Hafla ilikuwa ni ya NINI ? naomba tu unijibu na hilo Jibu lako je linahitaji maneno zaidi ya matatu ? Yaani inahitaji mtu kuandika Thesis na Attachments (Appendices na References) ?

A Lie of Omission is Still a Lie.....
Nyie mpo na TEC tu kila kukicha. Hivi hamuwezi kuishi bila TEC? Au bila TEC hakuna pumzi.
 
Kadi ya mwaliko tu inaulaghai tena kwa viongozi wa taasisi za dini. Kwamba kadi imeandikwa bila kueleza washiriki wanakwenda kusikia nini.

Kama kadi pekee inaweza ikawa na ulaghai uchaguzi utakuwa na nini? Kama kadi ina ukakasi, je dhamira ya waandishi wa kadi kwenye katiba mpya mnaona? Tukubali hakuna uchaguzi wala katiba.

Tutaendelea kuishi kwa dana dana kwa sababu wanaopaswa kutenda haki wanafaidika na mfumo usio wa haki. Kwanini watafute mfumo wa haki wasiojua kama itawaacha wakineemeka?
Chini ya samia hakuna katiba mpya hata angefanikiwa kukaa ikulu kwa miaka 20 labda kasha jipya la katiba linaweza kuwepo

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Kadi yenyewe iko wapi? Tunaomba link kwa sababu wengine hatujaiona. Kama ikulu ilifanya utapeli basi maaskofu wanatakiwa kutoa tamko kali sana sana na kususia shughuli zote za ikulu.
Kanisa Katoliki huwa halina visasi, limejikita katika kusamehe.
 
Nyinyi ni wabaguzi wa kidini...
Acheni ubaguzi wa kidini...

Magu aliuwa watu hamkusema...
Kulikuwa na ugumu gani kuandika kwenye kadi ya mwaliko kuwa wanaalikwa kwenye hafla maalum ya utiaji saini mikataba ya kukodisha bandari?

Huoni kama walichofanya ni hila!
 
Nyie mpo na TEC tu kila kukicha. Hivi hamuwezi kuishi bila TEC? Au bila TEC hakuna pumzi.
Sipo na mtu wala kitu (am them man of my own mind and principles) nadhani shida kubwa ni watu kama nyie mnaodhani kuna wale, sisi na wao..., wakati taifa ni moja na wapuuzi wanatumia mianya ya watu kama nyie kufanya yao....
 
Waalikwa nao tuwashushe thamani... yaani kadi haijielezi vizuri tayari washafika eneo la tukio!
Aibu sana!
Kadi ya mwaliko tu inaulaghai tena kwa viongozi wa taasisi za dini. Kwamba kadi imeandikwa bila kueleza washiriki wanakwenda kusikia nini.

Kama kadi pekee inaweza ikawa na ulaghai uchaguzi utakuwa na nini? Kama kadi ina ukakasi, je dhamira ya waandishi wa kadi kwenye katiba mpya mnaona? Tukubali hakuna uchaguzi wala katiba.

Tutaendelea kuishi kwa dana dana kwa sababu wanaopaswa kutenda haki wanafaidika na mfumo usio wa haki. Kwanini watafute mfumo wa haki wasiojua kama itawaacha wakineemeka?
 
Back
Top Bottom