Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Je, wapinzani wajiandae kisaikoloji? Je, CCM imeanza kugawanyika kuanzia viongozi wake hadi wanachama wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zirudi tu kwa kweli. Ukoo wa panya unatutesa Watanganyika.Je wapinzani wajiandae kisaikoloji? Je CCM imeanza kugawanyika kuanzia viongozi wake hadi wanachama wake?
Nywele zako na za mkeo msikubali zikauzwa.Mimi na Mke wangu,Watoto na baki 3 tunarejesha kadi za CCM leo jioni.Tumechoka bandari inauzwa,misitu inauzwa,Airport zinauzwa sasa tumebakiza nini ?.
Hayo ni mawazo yako na ujinga wako. Kule Mtwara mama kutimua watu kwa kadi tu kama hizo.Wapiga kura sio wanachama tu.
Mwambie na Mwenyekiti wa CCM aamini hivyoCcm hatutegemei kura zenu.Rudisheni tu muone kama mtashinda
Iv Nini maana ya my country first au ni kibwagizo tu [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]Hayo ni mawazo yako na ujinga wako. Kule Mtwara mama kutimua watu kwa kadi tu kama hizo.
Tunamwamini mwenye mbwa na siyo wewe
Analijua anawazuga tuMwambie na Mwenyekiti wa CCM aamini hivyo