Kadi za kieletroniki za uanachama kuipa CHADEMA Tsh. Bilioni 13 kwa mwaka

Big Up Mbowe..
What a creativity...!!

Wakati Lumumba juzi na jana siku nzima wakiangaika namna ya kumrusha hela zake Shigongo...
CDM songeni mbele kwa masuala chanya kama haya.
 
Very good idea iliyochelewa ila ndio muda muafaka! People should contribute for their party
 
The idea is superb, yet numerous issues surround the inner most motive; and how and who will deal in procuring the gadget? Finally, like many past others, it is the deal operated and done by and for the same party cronies. Hope we live to see. God forbid.
 
Kutengeneza kadi moja ya elekroniki inagharimu sh ngapi hadi muuze kwa sh 1000? Au mnakurupuka tu?
 
najaribu kufikiria tu wanachama 100000 wilaya 139 jumla (100000x139=13,900,000) maana yake ni wanachama milioni 13 na laki 9......................my take waliopiga kura ni milioni 6....na kumbuka waliopiga kura hao sio wote wenye kadi......napata mashaka na analysis iliyofanyika....
 
Utasikia
Tutaanza February
Na sisi tulikuwa na mpango[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Kumbe Na Humu Kuna Wezi Tena. Nitaenda Wapi Mie?
 


Tatizo ni kwenye tenda yakutengeneza hizo kadi omba uone kama utapewa kuna watu tayari hiyo ni dili lao .
 
Hivi vyama ni sehemu ya upigaji tu, ipitishwe sheria mapato na matumizi yote ya vyama vya siasa yanayotokana na Ruzuku yawekwe wazi kwa umma, la sivyo kodi zetu zinatafunwa tu na wenye meno.

Hiyo sheria ipo siku mingi na kila mwaka CAG huonesha ccm walivyo majizi katika taarifa zao.
 
Ccm nao wataiga tu hii maana kwao ubunifu ni msamiati mgumu sana

Ndugu yangu wale jamaa ni wabunifu sana usiwanyime credit ktk hilo.

Kubuni kuiba rambi rambi za wahanga ni kiwango cha juu kabisa cha ubunifu uliooneshwa na ccm tuwapongeje japo kwa kubuni hilo.
 
Hapa wataumbuka wazee wa maigizo kipind cha kampain pale wanapokuja na vikadi fake nakudai kuwa wamehama chadma.
 
Hivi vyama ni sehemu ya upigaji tu, ipitishwe sheria mapato na matumizi yote ya vyama vya siasa yanayotokana na Ruzuku yawekwe wazi kwa umma, la sivyo kodi zetu zinatafunwa tu na wenye meno.
Bosi huwa msajili anakaguaga hayo mapato na matumizi
 
Kwa wanachama wapi?!!
Teteh, Mbowe anafikiri kuna watu wa kutaperi kama wakati ule
Tuambie kwanza hela yetu ya harambee ilikuwa kiasi gani na ilienda wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…