Kwa wanachama wapi?!!
Teteh, Mbowe anafikiri kuna watu wa kutaperi kama wakati ule
Tuambie kwanza hela yetu ya harambee ilikuwa kiasi gani na ilienda wapi!
waambie kwanza serikali warudishe rambirambi na kama hawataki watupe mapato ok.Hivi vyama ni sehemu ya upigaji tu, ipitishwe sheria mapato na matumizi yote ya vyama vya siasa yanayotokana na Ruzuku yawekwe wazi kwa umma, la sivyo kodi zetu zinatafunwa tu na wenye meno.
go back to school Dude.Kutengeneza kadi moja ya elekroniki inagharimu sh ngapi hadi muuze kwa sh 1000? Au mnakurupuka tu?
sawa rambirambi ni mradi wa nani vile.Mradi wa Mbowe ili apate hela ya kulipa NHC
taperi ni yule alieyeanzisha tetemeko na kukusanya pesa za rambirambi wahanga .Kwa wanachama wapi?!!
Teteh, Mbowe anafikiri kuna watu wa kutaperi kama wakati ule
Tuambie kwanza hela yetu ya harambee ilikuwa kiasi gani na ilienda wapi!
Asingewauzia fuso chakavu 10 kwa million 600Amechelewa.
Tuna viongozi wana fikra zenye tija kwa taifa, sio wale wapenda rushwa wafuga fisi.
Wala Tender hutoisikia kutangazwa.. Wacha nimtafute swaiba wangu Clinton Mbowe tupige pesa hapoTatizo ni kwenye tenda yakutengeneza hizo kadi omba uone kama utapewa kuna watu tayari hiyo ni dili lao .
Waliiga elimu bure, sasa hiv inawatoa jasho mpaka wanaiba pesa za wahanga.Ni hatua nzuri, CCM igeni na hii.
HIVI SHIGONGO ANAMDAI SH NGAPI MWENYEKITI WA PALE LUMUMBAHatua nzuri hiki ni chama ....
Maana mtukufu kuna siku atafuta ruzuku ili kuwakomoa ....
Mbowe kweli ni mjasilimali anatafuta njia mpya ya kupiga hawa wanasiasa kweli tunaoRambi rambi ya wapi fafanua ww inzi wa kijani
Wakati mwingine ninyi watanzania unganeni kujikwamua na hawa wezi wanasiasa ni wapigaji tu hasa wakitoa wazo la ulaji bila kuulizwa mnaonekana vilaza ninyi wote wa CCM ama CDM. Hata wewe swissme naona labda una undugu na wanasiasa ama sivyo huwezi shangilia utapeli kama huutaperi ni yule alieyeanzisha tetemeko na kukusanya pesa za rambirambi wahanga .
swissme
Wakati wabunge wa UK wamenyea debe kwa kudai matumizi hewa ya fedha za serikali wabongo mnasifia maandalizi ya upigaji wa hela zenu. Mbowe kula na vipofu mpaka kieleweke ndiyo maana hakutakua na uchaguzi wa mwenyekitiInzi wa kijani nao,uliza hela za maafa Kagera mmepeleka wapi? Leteni huku Kadi hizo haraka tupate kuyalingishia mazombi haya ya kijani yanaisoma namba.
Ccm nao wataiga tu hii maana kwao ubunifu ni msamiati mgumu sana