Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Hapana, nawaonea sana huruma, kwanini niwarupie Waislam wa kesho?

Hivi huelewi kuwa Wakristo wa kweli ni Waislam? Ukiona mkristo mpaka anakufa hajawa Muislam, elewa kuwa huyo alikuwa siyo Mkristo wa kweli, bomu tu.
Kwa hiyo ukamilifu wa ukristo ni kuua!
 
Tafuta kwenye biblia neno UKRISTO kama utalipata, hakuna. So UKRISTO sio dini, ni UPAGANI
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehova
 
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehova

Kwanini agano jipya! Mas'haf ipo moja tu, na haijawahi kubadilishwa, ni kitabu kilichokamilika hakina shaka ndani yake. Sasa ukija kwenye biblia yenu imeshabadilishwa sana tu, hebu nikushauri tafuta AGANO LA KALE
 
Kwanini agano jipya! Mas'haf ipo moja tu, na haijawahi kubadilishwa, ni kitabu kilichokamilika hakina shaka ndani yake. Sasa ukija kwenye biblia yenu imeshabadilishwa sana tu, hebu nikushauri tafuta AGANO LA KALE
Kwenye agano la kale ndo kuna ahadi ya agano jipya ambalo litaletwa na issa .nakuja kukuattachia vifungu ndani ya agano la kale likitabili agano jipya
Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu,
Isaya 9 hii hapa


tumepewa mtoto wa kiume.
Naye atapewa mamlaka ya kutawala.
Ataitwa: “Mshauri wa Ajabu”.
“Mungu Mwenye Nguvu”,
“Baba wa Milele”,
“Mfalme wa Amani”.
7 Utawala wake utastawi daima,
amani ya ufalme wake haitakoma.
Atachukua wadhifa wa mfalme Daudi
na kutawala juu ya ufalme wake;
ataustawisha na kuuimarisha,
kwa haki na uadilifu,
tangu sasa na hata milele.
Hayo atayafanya Mwenyezi-Mungu wa majeshi
 
Ifike wakati kabla ya watu kuposti chochote mitandaoni wakutafakari kwa kina katika maono chanya na hasi

Hakukuwa na ulazima wa maelezo ya hii video kwa sababu yanagusa imani za watu wengine moja kwa moja

Na wale wanaokosoa na kusema Upande fulani sio dini Wauangalie upande waliopo kama nao ni dini

Dini za Kimapokeo zisifanye watu wafarakane

#Africa #TogetherAsOne
 
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehova

Nitafutie neno UKRISTO NI DINI YA KWELI!
 
Nitafutie neno UKRISTO NI DINI YA KWELI!
Quran sio ya kuamini ilisndikwa na marioo mtume alikuwa kaolewa na khadija aliwahi oa oia mtoto wa miaka 9 .na alikuwa na madeni akiwa kafa kwa anaowapinga wa yahudi.pia fatilia akiwa anakufa alilia aendako hakujui akasema msilizeni issa.wsyahudi walikuwa wanamchukia issa hebu msilizeni petro mnasililiza maswahiba hamsilizi mkuu alisema msilize yy swahiba wake ni mi mitume
 

Attachments

  • Screenshot_20240207-233129_Chrome.jpg
    Screenshot_20240207-233129_Chrome.jpg
    222.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom