Kwa hiyo ukamilifu wa ukristo ni kuua!Hapana, nawaonea sana huruma, kwanini niwarupie Waislam wa kesho?
Hivi huelewi kuwa Wakristo wa kweli ni Waislam? Ukiona mkristo mpaka anakufa hajawa Muislam, elewa kuwa huyo alikuwa siyo Mkristo wa kweli, bomu tu.
Kuna chumvini na topeni elewa neno matopeNa uislamu sio dini ni maoni ya muhamad kuwa jua huzama kwenye matope meusi.
Na uislamu sio dini ni maoni ya muhamad kuwa jua huzama kwenye matope meusi.
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehovaTafuta kwenye biblia neno UKRISTO kama utalipata, hakuna. So UKRISTO sio dini, ni UPAGANI
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehova
Kwenye agano la kale ndo kuna ahadi ya agano jipya ambalo litaletwa na issa .nakuja kukuattachia vifungu ndani ya agano la kale likitabili agano jipyaKwanini agano jipya! Mas'haf ipo moja tu, na haijawahi kubadilishwa, ni kitabu kilichokamilika hakina shaka ndani yake. Sasa ukija kwenye biblia yenu imeshabadilishwa sana tu, hebu nikushauri tafuta AGANO LA KALE
Zinaitwa abrahamoic religions .zinachotofautiana ni mtizamo nje ya uyahudi wa waislamu yalikuwa maoni ya allah ndo maana wayahudi hawatambui uislamu hadi sasa.ukristo ni maoni toka kwa yesu juu ya agano jipya iliyotoka kwa anaemwita yehova
Quran sio ya kuamini ilisndikwa na marioo mtume alikuwa kaolewa na khadija aliwahi oa oia mtoto wa miaka 9 .na alikuwa na madeni akiwa kafa kwa anaowapinga wa yahudi.pia fatilia akiwa anakufa alilia aendako hakujui akasema msilizeni issa.wsyahudi walikuwa wanamchukia issa hebu msilizeni petro mnasililiza maswahiba hamsilizi mkuu alisema msilize yy swahiba wake ni mi mitumeNitafutie neno UKRISTO NI DINI YA KWELI!
Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu Kristo. Hivi jina mtume Mwamedi lina uwezo wa kuponya?Tafuta kwenye biblia neno UKRISTO kama utalipata, hakuna. So UKRISTO sio dini, ni UPAGANI
Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu Kristo. Hivi jina mtume Mwamedi lina uwezo wa kuponya?
Wewe wasemaKwahiyo yesu ni mungu?
Yesu ni binadamu kama wewe, haombwi, anaeombwa ni Allah pekeeWewe wasema
Allah ndio nani? Yule atakayekuwa wa mwisho kuingia jehanum kwenye moto wa milele?Yesu ni binadamu kama wewe, haombwi, anaeombwa ni Allah pekee
Uislam ni dini ila haina ukweli wa Mungu.Ukristo siyo dini.