Kadiri unavyosonga mbele ki umri, unapaswa kuwa katika stable relationship, ukizubaaa utalamba joka maana soko gumu sana kwa wenye umri mkubwa

Mimi hapo nishafeli maana wakati na umri mdogo nilikuwa hohehahe nasaga rhumba jua na mvua Kwa mpigo nikishudia watoto wakishua na madogo walioajiriwa au kijapata wakiumiza mioyo na kuwapanga foleni mabinti ninaowapenda na wananikataa kwasasa kila mademu ninaowaona naona wanajaribu kuja kutafuta nafuu ya maisha kwangu.
 
Money 🤑 💰 💰 💰 is answer

A men ages like wines.
Futa mwanaume kwenye huo ushauri
 
Ni kudra za Allah kupata na kukosa sis yetu ni mtazamo tuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…