Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
umeoongea utumbo na sio weww ni ccm chawa kila siku awamu ya 6 ya mama kapiga aslimia 80, bado imefeli awamu ya 6 unafikiri jpm angekuwa hai miradi yoote sasa hivi ingekuwa imeisha na kuna miradi mipya kaazisha, mwenye miradi kafariki mnataka ashindane na mama yupo hai
 
Nawaza tu hapa, Watoto aliozaa, Kama watarithi akili yake, sijui itakuwaje siku za huko mbeleni. 🤒🤒
 
Wahi kizimkazi ukapokee posho yako
 
Hiyo ni obvious.
Au alitaka marehemu ajenge reli?
 
Msukuma huyu ni gwiji wa unafiki na uzandiki
 
Angefanya wakati alikuwa ameishiwa pesa akabaki kupora watu kwenye account zao
 
Kwanza nianze kwa Kumshukuru Mama samia!
Kipindi cha 2021 tuliambiwa na kadogoso kuwa reli imefikia 50 asilimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…