Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

Huyu mwamba kaungana na Joka Makengeza na anagombea ubunge wa Bariadi Mashariki 2025. Sifia sifia hii nadhani ni kujihakikishia kuwa jina linarudi kutoka huko yanakopoteleaga!
 
Amekwambia 30% akiwa hai na kama Samia ataacha kazi leo ni 70%. Jambo la kuhoji hapo ni kweli JPM 30%? ni kweli Samia ni 70%?. Hiyo hoja ya JPM kufariki utaulizwa kwa 30% kaongoza muda gani na Samia kwa 70% kaongoza muda gani?

NB: BINAFSI NAAMINI HUWEZI TENGANISHA SGR, IKULU DODOMA, BARABARA ZA JUU ZA DSM, BWAWA LA UMEME NA JPM.
 
Kwa speed ya 30km/h umradi ni Sawa paradox ya MFU AJIE HAI
 
Jamaa anajipeneekeza snaa

Kaz zote Ni za Dr jpm zote wao wanqfanya tu na lait Dr angekuwa hai miradi yote ingeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…