Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Sio Chadema?😅😅
 
Taifa linaangamia kwa kukosa uzalendo.
 
Goli liko wazi mkuu
Kabisa, nimepita insta huko kwenye page moja ya "wanazi" chuma ziko melini ni kama mashindano kila kampuni inaingiza chuma mpya wenye Irizar, wenye Scania, wenye Yutong mala sijui Zongtong yaani ni vurugu tupu, ukirudi huku kwa Mirald Ayo unakuta treni mpya imezingua njiani masaa mawili,, nyie
 
Naye aache siasa,kama wanafahamika tunataka kusikia wamechukuliwa hatua tayari siyo atuambie watachukua hatua huo ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…